Elimu ya wapi 😝Wanauza views dudubaya ana elimu ya hapa na pale 😅😅😅
Kwa nini alijiita DUDU baya?
Mkuu umenichekesha sana aisee nipo hoi nimetoka zangu Mbabane kwa king wa 3 Dunia kubwa sana aisee..Ila waandishi bongo Bana. Yani Dudu Baya Sasa hivi anatafutwa kuhojiwa mambo mbalimbali ya kiuchumi, kijamii kisiasa kitaifa na kimataifa.
Nyau de adriz
Fan base yake ni vijana wa tiktok wanaoshinda kwenye Wai Fai za bure kugongea kwenye Hotel zaa nyota 3 mpaka 5Yani anagombaniwa. Hadi ishu ya Traoure, P Didy, Elon Musk, safari ya Trump Ghuba, mchakato wa papa kuteuliwa eti waandishi wanamtafuta kabisa atoe maoni Yake.
Nyau de adriz
Ukimtazama Dudu Baya kwa mtazamo wa kibangi bangi utamuona mtu wa hovyo hovyo tu, ila ukimsikiliza kwa makini pasipo kuzingatia makandokando yake utagundua anayazidi ma sisiemu mengi sana kule bungeni.Ila waandishi bongo Bana. Yani Dudu Baya Sasa hivi anatafutwa kuhojiwa mambo mbalimbali ya kiuchumi, kijamii kisiasa kitaifa na kimataifa.
Nyau de adriz
Hahaha 😂 eti "ana elimu ya hapa na pale"🤣.Wanauza views dudubaya ana elimu ya hapa na pale 😅😅😅
Hakujiita ,aliitwa na marafiki zake .Kwa nini alijiita DUDU baya?
Kwa nini maswahiba wake walimuita DUDU BAYA?Hakujiita ,aliitwa na marafiki zake .
Hakuweza kukataa upendo ule WA maswahiba wake.
Wewe ukimuangalia muonekano wake na ukisikiliza Aina ya nyimbo zake unamwona nini dudu zuri?Kwa nini maswahiba wake walimuita DUDU BAYA?