Dudu Baya ajuta kuzaliwa mtu mweusi

Dudu Baya ajuta kuzaliwa mtu mweusi

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
9,170
Reaction score
20,202
Akihojiwa na MaxMedia aliyekuwa msanii maarufu wa bongo flavour Dudu Baya anajutia kuzaliwa mtu mweusi. Kauli Yake.

I hate blacks. Mimi najuta kuzaliwa jitu jeusi. Nachukia sana majitu meusi. Yani jitu jeusi kugewa hela kamuue max ni jambo la kawaida halafu wazungu wamekaa wanachekelea. We are killing eachother tunauana sisi kwa sisi afrika. Wenyewe wametulia wanatuangalia na kushangaa.

Hakuna jitu pumbavu duniani kama jitu jeusi. 😆😆😆😆

Hata ukienda marekani wasanii wanauana mablack wanauana wazungu wamekaa tu kamue yule halafu yanaenda kuuana majitu meusi.

Angalia tu maendeleo anayoyafanya ibrahim traoure lakini hayo hayo majitu meusi yakipewa dollar 5000 yanaenda kumuwekea sumu ibrahim traoure wakati huyo rais anajitahidi kuleta maendeleo ya nchi ya kwako familia na ukoo.

Msikize zaidi kwenye video hapo chin.


View: https://vm.tiktok.com/ZNdhRe471/

Yoda Nyani Ngabu

Nyau de adriz Yoda
 
IMG-20250510-WA0043.jpg
 
Akihojiwa na MaxMedia aliyekuwa msanii maarufu wa bongo flavour Dudu Baya anajutia kuzaliwa mtu mweusi. Kauli Yake.

I hate blacks. Mimi najuta kuzaliwa jitu jeusi. Nachukia sana majitu meusi. Yani jitu jeusi kugewa hela kamuue max ni jambo la kawaida halafu wazungu wamekaa wanachekelea. We are killing eachother tunauana sisi kwa sisi afrika. Wenyewe wametulia wanatuangalia na kushangaa.

Hakuna jitu pumbavu duniani kama jitu jeusi. 😆😆😆😆

Hata ukienda marekani wasanii wanauana mablack wanauana wazungu wamekaa tu kamue yule halafu yanaenda kuuana majitu meusi.

Angalia tu maendeleo anayoyafanya ibrahim traoure lakini hayo hayo majitu meusi yakipewa dollar 5000 yanaenda kumuwekea sumu ibrahim traoure wakati huyo rais anajitahidi kuleta maendeleo ya nchi ya kwako familia na ukoo.

Msikize zaidi kwenye video hapo chin.


View: https://vm.tiktok.com/ZNdhRe471/

Yoda Nyani Ngabu

Nyau de adriz Yoda

Hili ni jibaguzi lillokata tamaa na pumbaff la kutupwa. Liambie liache bangi.
 
hivi unawezaje kujutia kitu ambacho haujakifanya? wazazi wake ndiyo waliopaswa kujutia kumzaa lkn siyo yeye, hana kosa lolote sasa iweje ajute? …
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom