Acha roho korosho, LOOSER.
Ukisoma maneno ya Membe ni kuwa Mzaliwa wa Tanzania na abaki kuwa Mtanzania. Hii inaweza kuwa ni kama One direction Valve. Mgeni hawezi kuchukua uraia wa nchi mbili ila Mtanzania MILELE ABAKI MTANZANIA.
Wahindi wanayo hiyo. Wajapan nao wana hilo saaana. Wewe hata uowe Mjapan hawakupi URAIA na hutoa kwa nadra sana uraia wao. Ila Mjapan hata awe raia wa nchi gani au hata Rais (Fujimori wa Peru) akirudi kwao ni MJAPAN.
Wakati mwingine inaweza kuwa kutoa HATI au KADI YA KUZALIWA. Hii inaweza kuwa inatumika mipakani kuingilia nchini Tanzania. Hivyo inaweza kuwa mtu ana PASS ya UK, ila ana HATI YA KUZALIWA YA TANZANIA. Akiwa nchi yeyote duniani na awe M-UK. Ila akirudi Tanzania, anakuwa MTANZANIA wa kuzaliwa.
Kuna njia nyingi sana zinaweza kutumika kuwapa faida wazawa bila ya kuwaruhusu wakuja.
Sasa wewe usiyeona faida, unajianika jinsi UPEO wako wa MWAMKO duniani ulivyo. Hao Wazungu kama wanataka kuja Tanzania na kuishi si wanafika na kuowa tu au kuolewa? Mzungu akija Tanzania leo anataka kuowa, si ataowa hata timu mbili za mpira kwa siku moja? Wewe kweli mtu wa kuja. Amka kijana, dunia hii sasa ni KIJIJI. AU unaungana na wenzio kufanya wanavyofanya au UNAKUFA. Yes, kama una wivu, go hang your self.
Mtu huna ahata AIBU. Hapo ulipo umekaa kwenye kiti cha kizungu, meza (neno la Ki-Spanish) ya kizungu, computer ya kizungu, mtandao wa Wazungu, nguo na viatu vya kizungu na bado una bwabwaja kuwa tusiige wazungu. Shame on you. Litanzania linchi kubwa sana. Acha tuchanganye damu labda itasaidia kuongeza asilimia kutoka 30 nakuwa walau 49% ya WASIOFUATA UPEPO anaowasema Kikwete.
Work up kijana. Mzungu kama anataka kuja kuiba basi wala hahitaji kupata URAIA. Atakuja na dola 5 na aondoke na dola milioni 5. Chonya wa Chilonwa wee.....
Jamani maoni ya wasomi wenu haya hapa:-
UDSM "scholars" Say NO To Dual Citizenship Manji Supporter
12th April 2007, 02:23 AM
Uraia nchi mbili NO - Wasomi UDSM
Wakati Wabongo wengi walioko nje ya nchi wanafagilia muswada wa kuwa na uraia wa nchi mbili, wasomi wa UDSM wametolea nje suala hilo.
Wasomi hao wamedai hiyo ni janja ya Watanzania wachache kwa maslahi yao binafsi na wala haina manufaa kwa wananchi wengi wa nchi hii.
Wamesema kuwa endapo kwenda Wabongo hao wana mapendo na nchi yao, basi ni bora warejee nchini kuendeleza nchi yao.
Hayo yalisemwa wakati wa mjadala ulioandaliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Taaluma -IDS ya Chuo Kikuu cha Dar baada ya pande kutoka kwa Rais JK aliyetaka kuwepo kwa mchakato wa suala hilo.
Washiriki wa mjadala huo waliongeza kuwa sheria hiyo itaibua hasara kuliko faida kwani hata baadhi ya wageni wataruhusiwa kumiliki ardhi kwa kuwa watakuwa na uraia wa Bongo.
Maslahi ya wachache yasiingilie maslahi ya taifa kwa kuwa si rahisi kwa mtu mmoja kutumikia kwa dhati uraia wa nchi mbili, walisema washiriki hao.
Walizidi kushindilia kuwa sheria hiyo mpya itawanufaisha Watanzania wachache wanaoishi nje ya nchi na si Wabongo wanaoishi nchini, kwa hiyo ni bora maslahi ya wengi yazingatiwe kwanza.
http://www.darhotwire.com/dar/Habari.../11/31633.html
Maoni yangu, ni suala la DC sio baya. Wenzetu katika hali ya uzalendo, hawafikirii uraia wanafikiria permanent residence kama ndo unataka kuingia na kutoka bila matatizo. The fact kwamba tunazungumzia DC, tunakubaliana kuwa utanzania is the best and sort of hatupo tayari kuupoteza! Why sufer, force tz to accept, je waki accept hizo nchi nazo zikageuza sheria zao, kuwa wao kwao hawaaccept entrants with DC?
wazungu wanatuchezea akili na sisi n´tunageuka tu kama midori, kama wachunguzi anaglieni shule zao, kwanza course nyeti hawachangamani na watu wa developing world afu ada sisi tunalipa mara tano hadi 10 ya wao in a case of europe, angalia scandnavia wao hawakuwa na tuition fee for years that has attracted many immigrants lakini sasa wanaona wahamiaji wanatosha, tayari wana ingiza ada, ila cheap fo EU members and very limiting kwa wenzangu na mimi!
sasa viongozi wetu, midori na sisi tunakuwa midori mwenye afadhari haonekani.
hebu great thinkers tuambizane kinagaubaga DC kwa mwananchi wa kawaida ina msaaidiaje? i do not understand, patriotically unakuwa upo wapi? unauraia wa US, na Afdhastan, umerudi zako home kwa bibi, unakutana na vita na wewe unapaswa kusaidia ndugu zako, baada ya vita unarudi marekani, unachanga fungu kusaidia Vita Afghan, which is which.
seems 70% ya upepo inaweza kupanda, maana we have no context! utalii na wildlife tunajifunza jamaica na Saudia, forgeting kuwa wao utalii is something different from ours! Mvua tunaenda thailand, ila DC ndo tunaangalia Uganda na Rwanda.
kweli either way we are fucked