TingTing
Member
- Dec 20, 2009
- 92
- 3
- Thread starter
- #21
Dongeee hilo, hamna lolote. Swali limeulizwa sula la Dual citizenship limefikia wapi. Unachojibu ni nje ya mada husika kabisa. Yaonyesha elimu haikusidii wewe hata tonye. Ndio nyie nyie!Rudi nyumbani uwasaidie watanzania wenzako,uraia wa nchi mbili kwangu ni upuuzi mtupu,tutaiga wazungu kila kitu? wao wanafanya hivyo ili wapate nafasi ya kuhujumu.