Dua ya swaumu kali

kakuruvi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2009
Posts
770
Reaction score
259
DUA YA KUSOMA KAMA SWAUMU IMEKUZIDIA;
ya kabaab wal kuku,
yaa sambusa wal chatne,
innal chips wal mayai,
yaa chapati,
wal maji wal ice cream,
yaa juice bariiidi.
UKIMALIZA FANYA KAMA UNAPIGA MYAYO.
Nawatakia swaumu njema!!!
 
these people dont like jokes when it comes to their religion, I respect them for this...they gonna smash off ur ass
 
ah ebwanaee....hii kitu imenichekesha mnooo...mtanisamehe ndugu zangu mliofunga.
 
Mzima wewe? Au hujui ulichokifanya hapa?

dua ya kusoma kama swaumu imekuzidia;
ya kabaab wal kuku,
yaa sambusa wal chatne,
innal chips wal mayai,
yaa chapati,
wal maji wal ice cream,
yaa juice bariiidi.
Ukimaliza fanya kama unapiga myayo.
Nawatakia swaumu njema!!!
 
Ww sheikh ponda angeiona hii angegoma kufunga **kiding**
 
DUA YA KUSOMA KAMA SWAUMU IMEKUZIDIA;
ya kabaab wal kuku,
yaa sambusa wal chatne,
innal chips wal mayai,
yaa chapati,
wal maji wal ice cream,
yaa juice bariiidi.
UKIMALIZA FANYA KAMA UNAPIGA MYAYO.
Nawatakia swaumu njema!!!

Acha utani na imani za watu siyo vizuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…