HAJAVAA kufuli huyo...uuzuri wake ni kwamba mfungo umeiha hivyo ni uhuru wa manyani hadi mfungo ujao..ndo type ya dini zetu hizi bwana...utakatifu mwezi mmoja tu,,,miezi mingine jiachie utakuja kutubu mwezi wa ......, huyo hapo mwezi ule wa mfungo ukimtongoza haawezi kukubali ati...
aaah maana yake ni kwamba yuko kwenye kazi... Ndio maana kakaa mbele ya zana za kazi zilizo tumika.. Hata mkulima halisi hupiga picha karibu na jembe au tractor@asigwa
Mbuzi Mzee tangu jana umeweka hii picha mi nakuangalia tu,ujue una kesi ya kunijibu kwa dhambi nilizotenda.....Watu wengine tuna ugonjwa na kuku wa kienyeji kama hawa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.