Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?
I am afraid you are suffering from inferiority complex!
Roger that Sir. Binafsi pia huwa nakereka sana na watu ambao wao siku zote ni kukosoa tu tenses au grammar badala ya kuangalia maudhui, mf wenzetu wakenya hawana muda huo, hasa yule anaependa kusema "watu kama hao ni buuuulee ....bule kabisa" naamanisha kibaki.
Let's change guys!
alfred@kohiatdotcodottz
Mkuu unataka kutetea nini hapa? embu ona hii .... (content vs language)
A Question from Ms Christine from NBC News to President Kikwete during the Obama's press conference at Ikulu in Dar es Salaam yesterday
"President Kikwete, Did you discuss with president Obama the Tanzanian Diplomat who is stationed in Washington DC and fined a million dollars for holding a woman against her will as domestic servant. Is this person still an adviser to you and is this issue in anyway undercut your ability to fight human trafficking in you great country?"
Answers/Response from the President Kikwete
"....I am aware of a situation in Washington that involve one of our diplomats…. This incidence involves a young sister of the wife of this diplomat. He took her with them to help her getting education and support her make it in life. Then I think there was a conflict within the family, and then this young lady accuse the brother in law and the sister of using her for cheap labour. The court decided 1 million fine, an amount which for a Tanzanian there is no way that he can afford to pay, even the president.. we are here the presidents.. when I retire my retirement benefits can not pay that because we get far less. Then I think there was reconsideration for this gentleman to pay 175,000 dollars which is far as I know has already been paid; so that matter has been put to rest"
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-to-pres-kikwete-about-human-trafficking.html
Moja ya kipimo cha kupima uwezo wa kiongozi atakaye kuongoza ni pamoja na uwezo wa kiongozi huyo kuwa na uwezo mzuri wa:
(a)kujieleza yeye mwenyewe
(b) Uwezo wa kueleza vizuri, kueleza vizuri mawazo na hisia zake
(c) Uwezo mzuri wa kuyaelewa na kuyaelezea mawazo ya watu wengine
(d) Ufasaha na ustadi katika utendaji wake
Hatutegemei kuwa tukawa na rais wa nchi ambaye ni average! Tunapaswa kutambua kuwa ni wajibu wetu wa kumtafuta na kumpata rais ambae yuko juu ya viwango vya kawaida. Kama tukichagua boga, tujue kuwa sisi ndio wa kulaumiwa.
Kikwete hana uwezo mzuri wa kumudu lugha ya kiingereza. Hili ni tatizo kubwa hata kwa walimu wetu wa vyuo vya juu. Na wengi wanapoulizwa ni kwa nini hawaonyeshi kumudu lugha ya kiingereza (ambayo ni kitendea kazi) wao wanaishia kutukana.
Kiingereza ni kitendea kazi. Lazima tuweze kutmia vitendea kazi hivi kwa ajili ya kulinda maslahi ya nchi na watu wake.
Mmeiba kura nani asiejua,cheki anavyoaibisha,kama kingereza sio issue kifuteni basi kama lugha ya kufundishia hadi vyuoni,kwenye interview,mmchague ujue kama anajua au hajui.Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?
I am afraid you are suffering from inferiority complex!
Yaliyomo kwenye hiyo clip ni haya hapa:
I... I think the... the issue of satisfied with MCC should have com... should have been asked me.
MCC has been great assistance from the United States government to the people of Tanzania.
There are three.... three... three sectors here. There is the road sector. And the good thing about the MCC is that we decide on the..... on the areas or sectors that we need assistance. But even we decide on where. For example in the case of roads. There are roads that we spo.... we talked to many donors, who were not ready to support us. But when... when you said there is going to be support on roads I said "Let's try these roads, let's see what the American are going to say." The American said fine, if you think you need these roads fine, we will give you the money.
Those fellow Tanzanians know Namtumbo-Songea-Mbinga, Tunduma-Sumbawanga, Tanga-Horohoro, the roads in Pemba. But we chose those roads because, these roads are actually in our bread basket area. This is where we get the corn: Ruvuma, Rukwa and Mbeya.
We decide.. we chose the US to assist us to increase water supply in Dar es Salaam. It is our decision. The project is now being implemented.
With electricity we said, one of our biggest problems is access to electricity for people in the rural areas. The US said fine. We have m m .. in grid 10 regions of Tanzania. Coverage of electricity has increased from 10% to 21%, is phenomenal increase.
So I want to underscore the fact that I am satisfied with the support from MCC.
Is US doing enough? The US has done a lot, but if I say they have done enough, then the President will not listen to my new requests... hahahahahaaaaaaaaaaaa
But so far so good.
Deaths from malaria have declined by over 50%, infant mortality rates have declined, HIV infections have declined. Through PMTCT (Prevention of Mother to Child Transmission) more children born by HIV infected mothers are born free of the disease. More people now...
The US has supported us now with over 2 million books. And today I asked the president we want another 2.4 million and he said we will ... to .... and I see from their face that they are in agreement with the president. So that when it comes to science and mathematics books, we will have every Tanzanian child .. have a book of his or her own, instead of the ratios that we are talking today 5 to 1 now reduced to 3 to 1. So the list is endless.
We have a lot of support, we are very appreciative, we are very thankful, it has really helped changing the lives of our people.
Siyo suala la inferiority complex. Ni suala la kuzungumza lugha sawasawa ili ueleweke. Hakuna aliyemlazimisha kuongea kiingereza. He could have used Kiswahili. I said this and will say it again. Alitakiwa atafute mtafsiri na wala hakuna ambaye angeshangaa. Sasa watu wanashangaa level ya kiingereza alichoongea tena kwa wenye lugha yao. Why can't we be proud of our language especially when English is either the second language or third? Mbona wao hawataki kuongea Kiswahili hadharani? It is because they are not fluent.Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?
I am afraid you are suffering from inferiority complex!
Kama unayo clip ya Dr Nchimbi tuwekee ili tujiridhishe. Ya Dr Kikwete angalau tumeiona.
Ni kweli mkuu.Here the issue is not only English. The speech is embarrassing.
If you are a Tanzania with a sense of dignity as a citizen you should be embarrassed!
Tanzania is one of the wealthiest country on the planet in terms of its natural resources yet here is our president talking like a little school girl in front of her rich daddy.
Receiving aid has become a bragging badge for Kikwete, foreign companies are making billions off our lands yet here's this embarrassing president bragging about how much aid his country is getting from the US.
Let us forget our party affiliations and ideologies. This is simply embarrassing, embarrassing, embarrassing!!!!
English is embarrassing, but even more so is the condescending message!!!
Here the issue is not only English. The speech is embarrassing.
If you are a Tanzania with a sense of dignity as a citizen you should be embarrassed!
Tanzania is one of the wealthiest country on the planet in terms of its natural resources yet here is our president talking like a little school girl in front of her rich daddy.
Receiving aid has become a bragging badge for Kikwete, foreign companies are making billions off our lands yet here's this embarrassing president bragging about how much aid his country is getting from the US.
Let us forget our party affiliations and ideologies. This is simply embarrassing, embarrassing, embarrassing!!!!
English is embarrassing, but even more so is the condescending message!!!
Yaliyomo kwenye hiyo clip ni haya hapa:
I... I think the... the issue of satisfied with MCC should have com... should have been asked me.
MCC has been great assistance from the United States government to the people of Tanzania.
There are three.... three... three sectors here. There is the road sector. And the good thing about the MCC is that we decide on the..... on the areas or sectors that we need assistance. But even we decide on where. For example in the case of roads. There are roads that we spo.... we talked to many donors, who were not ready to support us. But when... when you said there is going to be support on roads I said "Let's try these roads, let's see what the American are going to say." The American said fine, if you think you need these roads fine, we will give you the money.
Those fellow Tanzanians know Namtumbo-Songea-Mbinga, Tunduma-Sumbawanga, Tanga-Horohoro, the roads in Pemba. But we chose those roads because, these roads are actually in our bread basket area. This is where we get the corn: Ruvuma, Rukwa and Mbeya.
We decide.. we chose the US to assist us to increase water supply in Dar es Salaam. It is our decision. The project is now being implemented.
With electricity we said, one of our biggest problems is access to electricity for people in the rural areas. The US said fine. We have m m .. in grid 10 regions of Tanzania. Coverage of electricity has increased from 10% to 21%, is phenomenal increase.
So I want to underscore the fact that I am satisfied with the support from MCC.
Is US doing enough? The US has done a lot, but if I say they have done enough, then the President will not listen to my new requests... hahahahahaaaaaaaaaaaa
But so far so good.
Deaths from malaria have declined by over 50%, infant mortality rates have declined, HIV infections have declined. Through PMTCT (Prevention of Mother to Child Transmission) more children born by HIV infected mothers are born free of the disease. More people now...
The US has supported us now with over 2 million books. And today I asked the president we want another 2.4 million and he said we will ... to .... and I see from their face that they are in agreement with the president. So that when it comes to science and mathematics books, we will have every Tanzanian child .. have a book of his or her own, instead of the ratios that we are talking today 5 to 1 now reduced to 3 to 1. So the list is endless.
We have a lot of support, we are very appreciative, we are very thankful, it has really helped changing the lives of our people.
Moja ya kipimo cha kupima uwezo wa kiongozi atakaye kuongoza ni pamoja na uwezo wa kiongozi huyo kuwa na uwezo mzuri wa:
(a)kujieleza yeye mwenyewe
(b) Uwezo wa kueleza vizuri, kueleza vizuri mawazo na hisia zake
(c) Uwezo mzuri wa kuyaelewa na kuyaelezea mawazo ya watu wengine
(d) Ufasaha na ustadi katika utendaji wake
Hatutegemei kuwa tukawa na rais wa nchi ambaye ni average! Tunapaswa kutambua kuwa ni wajibu wetu wa kumtafuta na kumpata rais ambae yuko juu ya viwango vya kawaida. Kama tukichagua boga, tujue kuwa sisi ndio wa kulaumiwa.
Kikwete hana uwezo mzuri wa kumudu lugha ya kiingereza. Hili ni tatizo kubwa hata kwa walimu wetu wa vyuo vya juu. Na wengi wanapoulizwa ni kwa nini hawaonyeshi kumudu lugha ya kiingereza (ambayo ni kitendea kazi) wao wanaishia kutukana.
Kiingereza ni kitendea kazi. Lazima tuweze kutmia vitendea kazi hivi kwa ajili ya kulinda maslahi ya nchi na watu wake.
though I presume, majority of us face difficulty to take advise than to give...ni rahisi kutoa ushauri kuliko kupokea.
i propose that cabinet meetings be conducted in English so as to make our leaders become comfortable when they meet with other leaders in high profiled meetings ...just imagine those tete a tete or random discussions/chats they make behind the scene.....
Rais wa china hajui english ! je anawatia aibu wachina!..?
rais wa china anafahamu mipaka yake
Rais wa china hajui english ! je anawatia aibu wachina!..?