Pole sana!
Mkosekanapo wadau kama wewe, wale , wao, yule , nyie, huyu, hao , n.k neno Usimbe litafutwa kwenye msamiati wa Kiswahili .
Stahamili .
mh! mkuu naomba udadafuzi...
Mwepesi tu, ndg yetu kalalamika weather winter much too!
Huyu angekua na mwenzawake pengine asingelalamikia baridi kw kuianzishia thread.
thats ma shem.....umeona eeh....wote tumo mumu humu lakini mbona hatupati baridi....au hii baridi ipo kata hadi kata....?...haaa....!!!!