Nilikutana nae kwa Aristotee....ni mfupi kama debe la asali.Photoshop hiyo, ukimuona live utashangaa.
Picha zinadanganya sana. Yaani asilimia kubwa ya wanaoitwa warembo kupitia picha sivyo walivyo.Nilikutana nae kwa Aristotee....ni mfupi kama debe la asali.
Umeona eeeee.Picha zinadanganya sana. Yaani asilimia kubwa ya wanaoitwa warembo kupitia picha sivyo walivyo.
Sio kama wanavyojaribu kuwaaminisha wengine kwa picha zao.Umeona eeeee.
Hata Hamisa....ule usoft na ushepu walaaaa.
wa kawaida sana
Hahahaha...umeuaNilikutana nae kwa Aristotee....ni mfupi kama debe la asali.
Hahahaha...umeuaNilikutana nae kwa Aristotee....ni mfupi kama debe la asali.
we nakuaminia itakua kweli hawako km tunavyowaona kwa pichaUmeona eeeee.
Hata Hamisa....ule usoft na ushepu walaaaa.
wa kawaida sana
Halafu akitokea mtu na kuweka picha yake halisi....team zitafufuka huko ziliko na kuanza kufurumusha matusi kwa muweka picha.Sio kama wanavyojaribu kuwaaminisha wengine kwa picha zao.
Mzee wa Torano, hawa wadada wadada wa mjini nawajua vizuri maana tunagongana nao sana viwanja.Hahahaha...umeua
we nakuaminia itakua kweli hawako km tunavyowaona kwa picha
hahaha eti camera 360,wanaturusha roho tu,afadhali umenitonya mie mpk nawaogopa,hebu nipe kiwanja chao niwazukie niwashuhudie live,tena siku hy nakualika tuwachoreMzee wa Torano, hawa wadada wadada wa mjini nawajua vizuri maana tunagongana nao sana viwanja.
Hii kitu camera 360 inawaharibu sana wadada.
Mie najikubali....sihitaji camera 360 wala taa ya mzungu...hahahahah
Usijali....wewe siku ukipata rundo la pesa nitafute nikupeleke kiwanja chenye madada zako....utajutraaaaa.hahaha eti camera 360,wanaturusha roho tu,afadhali umenitonya mie mpk nawaogopa,hebu nipe kiwanja chao niwazukie niwashuhudie live,tena siku hy nakualika tuwachore
Tutarudi na chenji kweli?au wallet ushike wewe,bill zote uzikagueUsijali....wewe siku ukipata rundo la pesa nitafute nikupeleke kiwanja chenye madada zako....utajutraaaaa.
Yaani ni sheeeeeda