ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,003
Mi sijasema ukiwa na matako makubwa ndio kuwa used HAPANA,huyo dada kwa kumwangalia tu yuko sokoni,unajua hiyo picha inaonwa na watu wangapi na wanaomtokea ni wangapi na ana kipato kiasi gani kinachomweka mjini,mwanaume lazima ujiulize hivyo halafu uje na KANUSHO au KUBALI kua mita yake imesoma sana na inaendelea kusoma.Fuatilia yawezekana anaishi kwenye APARTMENT ya gharama lakini analipa na hana kazi maalum mjini.Kakuambia nani kuwa na matako makubwa ndo kutumika acha kukariri