DTB-Diamond Trust Bank

DTB-Diamond Trust Bank

Ahsante sana kwa taarifa, mshikaji naye kapigiwa aende j.3 kwa ajili ya interview ya tatu. Do you have any idea kuhusu hiyo interview ya tatu inahusiana na nn?mimi nipo UDOM ila nilifanya interview moja tu sasa hawa ndugu zangu zote tatu hizo za nini?interview ya tatu ni ya nini?
kuna jamaa ameitwa ..interview ni j3
 
Interview ya tatu inahusu nini? manake ya pili ilikuwa oral,sasa hii ni ya namna gani?
 
Wewe unaenda kwenye interview lini?kuna baadhi ya kampuni interview ya tatu inakuwa mambo ya mkataba kuangalia kama unakubaliana nao, wengine interview ya tatu inakuwa maswali kama ya interview ya pili
Interview ya tatu inahusu nini? manake ya pili ilikuwa oral,sasa hii ni ya namna gani?
 
Wewe unaenda kwenye interview lini?kuna baadhi ya kampuni interview ya tatu inakuwa mambo ya mkataba kuangalia kama unakubaliana nao, wengine interview ya tatu inakuwa maswali kama ya interview ya pili

Naenda J3 pia
 
Back
Top Bottom