DSTV wana mfumo wa kizamani?

Ndio mvua ikinyesha Dstv inakata inaanza kuscratch scratch mwishoni inaanza kublink namba kwenye interfacew decorder
Sasahivi imeanza kuscratch na inaleta msg samahani kwa usumbufu unojitokeza mafundi wanashughulikia kurekebisha tatizo. .
Mawwweeee!!
 
Salamu,kwa miaka nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mfumo wa hawa jamaa wa kuwasha king'amuzi chao.
Kusoma chaneli kinachukua zaidi ya dakika kumi,ukiwa umeunganishwa na extra view ndiyo balaa kabisa.
Azam na startimes wao ukiwasha tu sekunde kumi unaanza kuona.
Je ni mfumo wa kikoloni au nini wajuzi.
Decoder za Dstv hasa zile za zamani ambazo sio HD ni kweli zinachelewa sana kuwaka.
All in all, wana kuwa wanaondoa wezi kwenye server zao kama mmoja alivyotamka hapo juu. Kwa hio kila decoder ikiwaka lazima ihakikiwe kwanza kwenye server iwapo ni ya kwao ama ya wezi.
 
Back
Top Bottom