MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Sasahivi imeanza kuscratch na inaleta msg samahani kwa usumbufu unojitokeza mafundi wanashughulikia kurekebisha tatizo. .Ndio mvua ikinyesha Dstv inakata inaanza kuscratch scratch mwishoni inaanza kublink namba kwenye interfacew decorder
Mawwweeee!!