Tunafunga na kuseti madishi yote. Niulize chochote

Tunafunga na kuseti madishi yote. Niulize chochote

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,535
Habari wakuu , napatikana mjini USHIROMBO wilaya ya BUKOMBE,

Tangu mwaka 2006 nimekuwa nikijihusisha na kazi hii ya ufundi wa madishi mpaka muda huu namudu kufanya kazi yoyote sio kufunga ving'amuzi tu bali madishi yote na kila king'amuzi kinachotumika hapa TANZANIA kama: zuku, startimes, azam , dstv, continental, ting, canal +, na madishi makubwa kwa mfumo wa free to air chanells,

Kama una tatizo lolote kuhusu chaneli usisite kunitafuta.

KARIBUNI.
 
Habari wakuu , napatikana mjini USHIROMBO wilaya ya BUKOMBE,

Tangu mwaka 2006 nimekuwa nikijihusisha na kazi hii ya ufundi wa madishi mpaka muda huu namudu kufanya kazi yoyote sio kufunga ving'amuzi tu bali madishi yote na kila king'amuzi kinachotumika hapa TANZANIA kama: zuku, startimes, azam , dstv, continental, ting, canal +, na madishi makubwa kwa mfumo wa free to air chanells,

Kama una tatizo lolote kuhusu chaneli usisite kunitafuta.

KARIBUNI.
Mkuu naomba frequency na satellite ya startimes
 
Back
Top Bottom