DSTV Vs VING'AMUZI

Muce

Senior Member
Dec 19, 2011
116
14
Tukiwa tunajiandaa kuingia katika mfumo wa digital hadi sasa sijapata jibu kipi ni bora kati ya kuwa na ving'amuzi vingi au bora nijiunge na Dstv. Maswali yangu sasa
1. Je nisubiri hadi tupate msimamo wa ving'amuzi vyenye uwezo wa kushika channel zote za hapa bongo?
2. Je nikinunua Dstv nitaweza kupata channel za hapa bongo? kama ndiyo ni channel zipi nitazipata?
3. Je kwa wale wanaokaa sehemu ambayo ving'amuzi havishiki, wenaza tumia ungo wa Dstv kupata channel za hapa bongo?

Nawasilisha.
 
Kwa Sasa ukinunua Dstv utapata Station 1 TU ya Tanzania ambayo ni Tbc 1 ila kuna Station ambazo za Afrika Mashariki utaweza kuzipata na hata za mataifa mengine japokuwa sio sana,kama we ni mpenz wa Movie za Afrika na Mpira basi chukua Dstv.
 
dstv ni gharama sana mkuu lakini hana mpinzani kwa chanel za uhakika kaka....
 
Mkuu kwa kukusaidia tu ving'amuzi vilivyosajiliwa kurusha digitale ni makampuni matatu:startimes,ATN(Ting) na kingine cha 3(sikijui) na ving'amuzi vyote hvyo vitaonyesha local channel zote kama free packages so italzimika kununua kinga'amuzi husika kulingana na wewe unavyopenda packages zake za kulipia!

Kwa Ting walisema sehemu yeyote ulipo utapata matangazo yao,kama hauwezi kutumia king'amuzi chao kupata matangazo basi kuna dish watakufungia kupata matangazo

Kazi ni kwako.
 
dstv ni gharama sana mkuu lakini hana mpinzani kwa chanel za uhakika kaka....
vizuri siku zote gharama mkuu....!! mi namshauri achukue dstv tu kama ni mpenzi wa entertainments (movies, games etc) maana jamaa wako juu kwa channel za mambo hayo..ila ndo ukubali gharama....channel za kibongo ndo kama hivyo ni TBC tu ndo unapata ila zipo nyingine nzuri tu za afrika mashariki.....hii zuku hii naskia inakuja kwa kasi ila mi binafsi yangu bado naiskilizia kwanza maana tusije fanyiwa kama yale ya GTV!!
 
vizuri siku zote gharama mkuu....!! mi namshauri achukue dstv tu kama ni mpenzi wa entertainments (movies, games etc) maana jamaa wako juu kwa channel za mambo hayo..ila ndo ukubali gharama....channel za kibongo ndo kama hivyo ni TBC tu ndo unapata ila zipo nyingine nzuri tu za afrika mashariki.....hii zuku hii naskia inakuja kwa kasi ila mi binafsi yangu bado naiskilizia kwanza maana tusije fanyiwa kama yale ya GTV!!
Jamaa wapo vizuri mkuu itabidi tuendelee kuumia tu na hizo gharama zao kaka coz si wengune bila mpira weekend haiendi mkuu!
 
Mkuu kwa kukusaidia tu ving'amuzi vilivyosajiliwa kurusha digitale ni makampuni matatu:startimes,ATN(Ting) na kingine cha 3(sikijui) na ving'amuzi vyote hvyo vitaonyesha local channel zote kama free packages so italzimika kununua kinga'amuzi husika kulingana na wewe unavyopenda packages zake za kulipia!

Kwa Ting walisema sehemu yeyote ulipo utapata matangazo yao,kama hauwezi kutumia king'amuzi chao kupata matangazo basi kuna dish watakufungia kupata matangazo

Kazi ni kwako.


asante mkuu kwa ufafanuzi wako mzuri, nitajaribu kufuatilia package za kila kimoja ili nione kipi kitanifaa.
 
Wakuu naombeni mwenye packages za ving'amuzi vya ting na startimes.
 
Nilisikia tangazo kwamba wenye tv za kisasa watapata matangazo pasipo kuwa na kingamuzi vip hiyo imekaaje?
 
Back
Top Bottom