DSTV muda sio mrefu tutawaacha mazima

DSTV muda sio mrefu tutawaacha mazima

Dstv ukiachana na EPL na Champions league matches hawana cha kuoffer kwa fans wake imagine CAF Champions league hawataonyesha games zao AZAM akipata tender ya kuonesha EPL na Champions league fixtures kesho yake mapema asubuhi nitaliuza dish Lao kwa watu wengine
Azam huku huku ambako ukivuma tu upepo matangazo yanakata??? Duh sijui ila kwa kweli "burudani kwa wote" ni kichomi kwa sasa, yaani ikinyesha mvua tu ujue jiandae kuweka flash

Sasa hiki ni kitu cha kuzingatiwa, kwanini mtu una dishi lakini upepo wa feni ya asili ukivuma tu mawimbi yanakatika kama zile zama za zungusha antena elekezea mjini???

WABORESHE MITAMBO YAO
 
Ukweli ni kwamba Tanzania na afrika kwa ujumla wake tupo gizani
Kustream game kupitia links naona ni changamoto

Nini Cha kufanya? Jibu Mimi sijui

Game za ulaya (epl, la liga, ligue 1, seriea A) ndio tunateleza nazo
 
Hao wanaosema sema Azam na wenzake NI Bora si kweli Kwasababu dstv wanasaport full HD Tatizo Sisi Tanzania NI maskin sana hata TV zetu hazina uwezo WA kusaport full HD wakina Azam hata HD plain hawafiki
 
Kulingana na maisha yanavyoenda Tanzania tubadilike tuhamie kwenye hizi stream service tuachane na hizi mambo ya ma dstv na Azam ila nilikuwa na ombi moja Kwa serikali hii fiber ya ttcl ibinafsishwe ndo huduma itakuwa nzur na Bora
 
Kulingana na maisha yanavyoenda Tanzania tubadilike tuhamie kwenye hizi stream service tuachane na hizi mambo ya ma dstv na Azam ila nilikuwa na ombi moja Kwa serikali hii fiber ya ttcl ibinafsishwe ndo huduma itakuwa nzur na Bora
Soon TTCL fiber italeta mageuzi,stay tuned
 
Uhalisia NI kwamba dst TV imepoteza wateja Zaid ya nusu south Afrika. ambapo uko ndo anategemea pesa nyingi na hii imetoka na streaming service na fiber kuwa nafuu kuliko vifurushi
South DSTV ana miaka 3,Mbele.Anaenda kufa mazima😭,Maana Streaming companies wakiwemo Netflix Wanakula nae sahani moja...DTH Satellite bandwidth Ina mwisho,wakati kwenye fiber no limit
 
Dstv ukiachana na EPL na Champions league matches hawana cha kuoffer kwa fans wake imagine CAF Champions league hawataonyesha games zao AZAM akipata tender ya kuonesha EPL na Champions league fixtures kesho yake mapema asubuhi nitaliuza dish Lao kwa watu wengine
DStv hela nyingi tunachpata kidogo sana mechi tu
 
Tukiacha mpira huwezi kulinganisha channels zilizoko dstv na ushuzi kwenye decoder yoyote
Kwanza hicho chanel za mpira sio most viewed chanels kwenye decoder yao , most watches chanels ni kama Espn, Discovery Chanel, National Geographic na vitu kama hivyo, so sidhani kama wanajali saana sababu hata ligi ya tanzania sijui kwanini hawakuiwekaga kwao wangepata soko sana
 
Tupe elimu ya hii kitu kwa undani zaidi
Yaan NI kwamba huduma ili isambaye Kwa haraka inategemea uhitaji na mnavyojiunga wengi na garama ndo zinapungua,Kwa mfano kila mtu inabid ndan awe smart TV ili uweze kustream YouTube na kila kitu ,sasa mtu Yuko kwenye chogo,anaeama kwenye chogo anaenda kwenye Haya maflat ya kawaida,anayeenda kwenye smart hajui hata maana yake nin
 
Back
Top Bottom