Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Katika kipindi hiki ambacho ligi nyingi za ulaya zimesimama kutokana na mlipuko wa Corona virus ni muda muafaka wa Dstv kujitathmini namna gani matumizi ya kingamuzi chao kiwe...
Binafsi nimelipia kingamuzi mwezi huu tar 1 kwa nia kubwa ya kuangalia ligi mbalimbali na michuano ya ulaya, lakini mlipuko wa Corona umesababisha ligi kusimama huku sisi pesa yetu imekwenda bure tuu, nitoe wito kwa DStv watufikirie wateja wao hususani mwezi huu na pia kubadili namna ya kutumia ikiwezekana iwe kama luku tuu, unaisha kadri unavyotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimelipia kingamuzi mwezi huu tar 1 kwa nia kubwa ya kuangalia ligi mbalimbali na michuano ya ulaya, lakini mlipuko wa Corona umesababisha ligi kusimama huku sisi pesa yetu imekwenda bure tuu, nitoe wito kwa DStv watufikirie wateja wao hususani mwezi huu na pia kubadili namna ya kutumia ikiwezekana iwe kama luku tuu, unaisha kadri unavyotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app