DSTV imekuwa kilio kwangu

DSTV imekuwa kilio kwangu

david08606

Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
47
Reaction score
4
wadau mi nimtumiaji mpya wa dstv baada ya kuona vingamuzi vingne ni mizigo kwangu. Nije kwenye tatizo baaada ya jana kulipia tena nimeshangaaa kila napowasha sioni channel yoyote na inaniambia your connection has lost toka jana nashindwa kuelewa tatizo ni nin. Msaada wadau
 
wadau mi nimtumiaji mpya wa dstv baada ya kuona vingamuzi vingne ni mizigo kwangu. Nije kwenye tatizo baaada ya jana kulipia tena nimeshangaaa kila napowasha sioni channel yoyote na inaniambia your connection has lost toka jana nashindwa kuelewa tatizo ni nin. Msaada wadau

0768 98 88 00 namba yao hiyo..wapigie
uko maeneogani..?
kama kuna mvua huo signal zinazingua..
 
Itakuwa ulilipia wakati decoder imezimwa. Wapigie customer care
 
unakuwa kama sio Mwana JF bana watu wanakimbia huko ww unakimbilia huko??

ungemtafuta huyu jamaa 0773044899 anakiboko ya dstv watu tunakula bata kwakwenda mbele.
 
unakuwa kama sio Mwana JF bana watu wanakimbia huko ww unakimbilia huko??

ungemtafuta huyu jamaa 0773044899 anakiboko ya dstv watu tunakula bata kwakwenda mbele.

Sory mkuu iyo inakuwaje kuwa zaid ya dstv
 
Sory mkuu iyo inakuwaje kuwa zaid ya dstv

wewe komaa nayo dstv mkuu coz yaonekana unajiweza na garama zao unazimudu but ungekuwa ni ss walala hoi hakika ungekuwa umejiunga na basi letu lilee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom