Wana jf nataka kununua dstv kuna jamaa yangu aliniambia ninunue decoder ya dstv na dish nitumie la euro star au jingine ila nisinunue complete dstv. Akiniambia kuwa inakuwa ni bomba lakini pia hata bei yake inakuwa chini. Mnasemaje wanajf.
DSTV waliwanunua GTV ili waendeleze umonopoly.
Yaani kuwa na DSTV imekuwa kama anasa jamani khaaaaaaaaa
Yah nunua euro star ni zuri ila nayo kuna feki kuwa makini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.