DSM waliikataa CCM sasa wanakula matunda, wengine mmejifunza?

DSM waliikataa CCM sasa wanakula matunda, wengine mmejifunza?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Ni wazi kuwa kuwa JPM na serikali yake kwa Mara ya kwanza wameamua kuliangalia jiji la Dar kwa jicho la makini tofauti na hapo awali baada ya watu wake kuamua kuikataa CCM kwa wingi pamoja na nguvu kubwa na mbinu chafu kufanyika.

Vitendo alivyofanya JPM kwa jiji kinyume na taratibu za kiserekali kwa ajili ya Dar kwa kipindi kifupi ni wazi anataka kurudisha imani iliyopotea.

Kwanza kuamuru Pesa za sherehe za Uhuru zipanue barabara ya Dar kipande wakati ziko nyingi nje ya Dar hazipitiki kabisa.

Kuhakikisha Muhimbili pekee wanaisimamia ipasavyo wakati matatizo yapo katika hospitali zote za rufaa na yanafanana, lakini ni ili wana Dar warudishe imani kidogo.

Kuamuru kuwachangisha mawaziri (wakitaifa) shilingi milioni 100 kwa ajili ya Shule za Dar pekee wakati hata huko watokako kuna kero hizo hizo.
Kuamrisha nyongeza ya bajeti ya shilingi Bilioni mbili kwa Dar kwa ajili ya Elimu kama vile matatizo ya madarasa yapo Dar pekee.

Hii yote ni kwavile CCM ekataliwa jijini na sasa wanaangalia wapi wamejikwaa na sio walipoangukia. Wale wa Dodoma, Katavi,Tunduru Nk mumejifunza somo hilo?

Kumekuwa na thread nyingi kuwa sehemu ambazo CCM inakataliwa Maendeleo yanakuja kwa kasi kumbe sababu ni hii? Na wengine mpaka wanafikia kula viwavi na hakuna anashtuka.

Sasa kumbe "KATAA CCM UPATE MAENDELEO"
 
Ukitazama kila jambo kwa jicho la kisiasa ndipo tabu na kufeli kunapoanza. Ingefanywa Kanda ya ziwa ingesemwa kapendelea kwao, ingekuwa Dodoma ingesemwa kapendelea waliompigia kura, ingekuwa Kaskazini ingesemwa anajipendekeza....bla bla bla blah, itz bullshit!
Wewe unadhani why suddenly macho yote Dsm na sio Dodoma au Tunduru? Au kwako wewe haya no mapenzi ya Mungu yatimizwe?
 
mtu akiitukana nchi yake ni upuuzi mkubwa,tujifunze kuipenda tz.
Kwakweli upinzani wamechangia sana kushawishi maendeleo kwa kuikosoa na kuiumbua serikali. Hâta Moshi hosp. ya mawenzi ilikarabatiwa enzihiyo kwasababu ya ndesamburo kuiumbua serikali.
Wapinzani waendelee kuichachafya serikali bila kuchoka tunaona matunda
 
waliikataa CCM kwakuwa huko ndiko kuna mafisadi wengi. waliamini kumchagua fisadi luwasa ingewasaidia kuendeleza ufisadi wao
 
Ni wazi kuwa kuwa JPM na serikali yake kwa Mara ya kwanza wameamua kuliangalia jiji la Dar kwa jicho la makini tofauti na hapo awali baada ya watu wake kuamua kuikataa ccm kwa wingi pamoja na nguvu kubwa na mbinu chafu kufanyika.
Vitendo alivyofanya JPM kwa jiji kinyume na taratibu za kiserekali kwa ajili ya Dar kwa kipindi kifupi ni wazi anataka kurudisha imani iliyopotea.
Kwanza kuamuru Pesa za sherehe za Uhuru zipanue barabara ya Dar kipande wakati ziko nyingi nje ya Dar hazipitiki kabisa.
Kuhakikisha Muhimbili pekee wanaisimamia ipasavyo wakati matatizo yapo katika hospitali zote za rufaa na yanafanana, lakini ni ili wana Dar warudishe imani kidogo.
Kuamuru kuwachangisha mawaziri (wakitaifa) shilingi milioni 100 kwa ajili ya Shule za Dar pekee wakati hata huko watokako kuna kero hizo hizo.
Kuamrisha nyongeza ya bajeti ya shilingi Bilioni mbili kwa Dar kwa ajili ya Elimu kama vile matatizo ya madarasa yapo Dar pekee.
Hii yote ni kwavile ccm ekataliwa jijini na sasa wanaangalia wapi wamejikwaa na sio walipoangukia. Wale wa Dodoma, Katavi,Tunduru Nk mumejifunza somo hilo?
Kumekuwa na thread nyingi kuwa sehemu ambazo ccm inakataliwa Maendeleo yanakuja kwa kasi kumbe sababu ni hii? Na wengine mpaka wanafikia kula viwavi na hakuna anashtuka.
Sasa kumbe "KATAA CCM UPATE MAENDELEO"
Mkuu hii nimeipenda sana,operation kataa ccm upate maendeleo?salute kwako mzee
 
Wewe unadhani why suddenly macho yote Dsm na sio Dodoma au Tunduru? Au kwako wewe haya no mapenzi ya Mungu yatimizwe?
Mkuu hii dawa inaonekana ni murua kwa kuiadabisha ccm,hivyo basi tunawaomba wakaazi wa mikoa ile iliyosahaulika waige mfano wa wakaazi wa dsm
 
mtu akiitukana nchi yake ni upuuzi mkubwa,tujifunze kuipenda tz.
Kwakweli upinzani wamechangia sana kushawishi maendeleo kwa kuikosoa na kuiumbua serikali. Hâta Moshi hosp. ya mawenzi ilikarabatiwa enzihiyo kwasababu ya ndesamburo kuiumbua serikali.
Wapinzani waendelee kuichachafya serikali bila kuchoka tunaona matunda
Tupo hatulali hadi kieleweke na tutaendelea na moto huo hadi kieleweke kwa watanzania woote wakombolewe
mtu akiitukana nchi yake ni upuuzi mkubwa,tujifunze kuipenda tz.
Kwakweli upinzani wamechangia sana kushawishi maendeleo kwa kuikosoa na kuiumbua serikali. Hâta Moshi hosp. ya mawenzi ilikarabatiwa enzihiyo kwasababu ya ndesamburo kuiumbua serikali.
Wapinzani waendelee kuichachafya serikali bila kuchoka tunaona matunda
Tupo hatulali hadi kieleweke na tutaendelea na moto huo hadi kieleweke kwa watanzania woote wakombolewe
 
waliikataa CCM kwakuwa huko ndiko kuna mafisadi wengi. waliamini kumchagua fisadi luwasa ingewasaidia kuendeleza ufisadi wao
Masikini ya mungu hata ulicho kiandika hakijulikani
 
Ni wazi kuwa kuwa JPM na serikali yake kwa Mara ya kwanza wameamua kuliangalia jiji la Dar kwa jicho la makini tofauti na hapo awali baada ya watu wake kuamua kuikataa ccm kwa wingi pamoja na nguvu kubwa na mbinu chafu kufanyika.
Vitendo alivyofanya JPM kwa jiji kinyume na taratibu za kiserekali kwa ajili ya Dar kwa kipindi kifupi ni wazi anataka kurudisha imani iliyopotea.
Kwanza kuamuru Pesa za sherehe za Uhuru zipanue barabara ya Dar kipande wakati ziko nyingi nje ya Dar hazipitiki kabisa.
Kuhakikisha Muhimbili pekee wanaisimamia ipasavyo wakati matatizo yapo katika hospitali zote za rufaa na yanafanana, lakini ni ili wana Dar warudishe imani kidogo.
Kuamuru kuwachangisha mawaziri (wakitaifa) shilingi milioni 100 kwa ajili ya Shule za Dar pekee wakati hata huko watokako kuna kero hizo hizo.
Kuamrisha nyongeza ya bajeti ya shilingi Bilioni mbili kwa Dar kwa ajili ya Elimu kama vile matatizo ya madarasa yapo Dar pekee.
Hii yote ni kwavile ccm ekataliwa jijini na sasa wanaangalia wapi wamejikwaa na sio walipoangukia. Wale wa Dodoma, Katavi,Tunduru Nk mumejifunza somo hilo?
Kumekuwa na thread nyingi kuwa sehemu ambazo ccm inakataliwa Maendeleo yanakuja kwa kasi kumbe sababu ni hii? Na wengine mpaka wanafikia kula viwavi na hakuna anashtuka.
Sasa kumbe "KATAA CCM UPATE MAENDELEO"
Ndo faida ya upinzani, KWA SPIDI HII UPINZANI HUU WA CHADEMA WATAENDELEA DAIMA KUWA WAPINZANI.
Kazi yao ni kuisimamia serikali ya sisiemu bungeni.
 
N
Viti 70 kati ya 290 ndio upinzani wenye nguvu?Mtaishia kutoka tu bungeni hakuna upinzani kuna wapiga kelele tu
Eti,ndio sababu kla uchaguzi idadi ya wabunge wa upinzani inaongezeka-e???labda hizi kelele ndo zenye tija??
 
Kitendo cha kuikataa Ccm katika jiji la Dar es salaam ndo kinampa nguvu zaidi rais kutumbua majipu!
 
Ni wazi kuwa kuwa JPM na serikali yake kwa Mara ya kwanza wameamua kuliangalia jiji la Dar kwa jicho la makini tofauti na hapo awali baada ya watu wake kuamua kuikataa ccm kwa wingi pamoja na nguvu kubwa na mbinu chafu kufanyika.
Vitendo alivyofanya JPM kwa jiji kinyume na taratibu za kiserekali kwa ajili ya Dar kwa kipindi kifupi ni wazi anataka kurudisha imani iliyopotea.
Kwanza kuamuru Pesa za sherehe za Uhuru zipanue barabara ya Dar kipande wakati ziko nyingi nje ya Dar hazipitiki kabisa.
Kuhakikisha Muhimbili pekee wanaisimamia ipasavyo wakati matatizo yapo katika hospitali zote za rufaa na yanafanana, lakini ni ili wana Dar warudishe imani kidogo.
Kuamuru kuwachangisha mawaziri (wakitaifa) shilingi milioni 100 kwa ajili ya Shule za Dar pekee wakati hata huko watokako kuna kero hizo hizo.
Kuamrisha nyongeza ya bajeti ya shilingi Bilioni mbili kwa Dar kwa ajili ya Elimu kama vile matatizo ya madarasa yapo Dar pekee.
Hii yote ni kwavile ccm kataliwa jijini na sasa wanaangalia wapi wamejikwaa na sio walipoangukia. Wale wa Dodoma, Katavi,Tunduru Nk mumejifunza somo hilo?
Kumekuwa na thread nyingi kuwa sehemu ambazo ccm inakataliwa Maendeleo yanakuja kwa kasi kumbe sababu ni hii? Na wengine mpaka wanafikia kula viwavi na hakuna anashtuka.
Sasa kumbe "KATAA CCM UPATE MAENDELEO"
maneno yako ni sawa kabisa maana ukichunguza kwa kina sehemu zote kwenye wapinzani ndio kwenye maendeleo naamini hata Ujiji maadamu ni wapinzani wanaongoza na wao watapata maendeleo kulinganisha na wakati wa ccm
 
CCM imepoteza umaarufu Dar, anachojaribu ni kurudisha imani hapa mjini .
 
yani ata afanye nini.me siikubali ccm kabisa.maana jpm atapita atakuja nani
 
Wako UKAWA wenzio wanalia Akiwemo LOWASA wanasema Magufuli Majipu anayotumbua Dar ni kwa sababu ana hasira na UKAWA.UKAWA mmegawanyika? Huyu anasema hili yule lile.
 
  • Thanks
Reactions: gsu
Back
Top Bottom