benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
- Real Madrid Vs Chelsea
- Inter Vs Benfica
- Man City Vs Bayern Munich
- Ac Milan Vs Napoli
- Mshindi kati ya Ac Milan Vs Napoli atakutana na mshindi kati ya Inter Vs Benfica
- Mshindi kati ya Real Madrid Vs Chelsea atakutana na mshindi kati ya Man City Vs Bayern Munich.
Mechi za raundi ya kwanza zitachezwa Aprili 11 na 12, 2023, marudio ni Aprili 18 na 19, 2023