wezekana kwani wkt grant anamleta anelka yeye akiwa kwa mataifa ya africa alisema
akirudi englnd lazima atakuwa fest eleven,na alipoletwa sheva,akatishia kuondoka eti hoo yeye hawezi kucheza mpira kama mbio za vijiti. hata kuna gossip zikasema drogba kaambiwa na babu yake asiondoke chelsea