Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Pretaaaaaaaaaaaaaa! hakika umeoza kwa bwana mdogo.
Ni dogo tu,yani anatoka chuo kaitwa jimboni agombee na akapita coz yupo vzr sn.Ukimwona amepiga gwanda ndo utabaki unanyevuka tu,ver handsome David.
Wewe unafaa kwenye hii timu yangu........come this way.........