Kwahiyo sie kina chausiku hatupendeziDreadlock ugonjwa wangu hasa zikikaa kwa dem white au lightskin girl wow"
Pole, dreads zinatakiwa nywele ambazo hazina dawa hapo labda ukate zianze upyaNapenda dreadlocks ila ndo sijui nianzie wapi nina nywele ndefu Sana lakini zina dawa.
hapo ndo pagumu na inachukua muda gani kukua mpaka kubana sipendi vifupiPole, dreads zinatakiwa nywele ambazo hazina dawa hapo labda ukate zianze upya
Sitaki kufika huko hahaKwahiyo sie kina chausiku hatupendezi
Teh Inategemea na ukuaji wa nywele zako, mie nilianza vikiwa vifupi ila sahivi zina mwaka nasuka styleshapo ndo pagumu na inachukua muda gani kukua mpaka kubana sipendi vifupi
Uwiii mwezi ujao nanyoa naanza dread so inabidi ziishe kabisa?Teh Inategemea na ukuaji wa nywele zako, mie nilianza vikiwa vifupi ila sahivi zina mwaka nasuka styles
Inabidi ziwe nywele ambazo hazina dawa kabisa unaweza hata kuwa unazipunguza punguza za chini zinaota unakata za juu zenye dawaUwiii mwezi ujao nanyoa naanza dread so inabidi ziishe kabisa?
Sasa nimekuelewa. Kumbe wewe RASTAFALI ndo maana kule jukwaa penda............Dreads zinaongeza mvuto
[HASHTAG]#teamnatural[/HASHTAG]
Ulitizama nini?Kuna mama nilimuona siku mbili zilizopita, nilimtazama hadi akajua nimemtazama.
Hiyo picha namba mbili ntazijaribu....... Dreads zina raha sanaaStyles mbalimbali za dreads, rastas tukutane hapa....
View attachment 324921 View attachment 324922 View attachment 324923 View attachment 324924
Mi Nina nywele nyingi sanaa na zinakuwa ila niliweka dreads kwa vile Nina mahaba nazo toka shule na ni ndefu sana tu japo kuna kipindi huwa nazipunguza lakini sijawahi kujuta kuwa nazowengi wanasema eti hazina style nyingi. na wadada wengi wenye dreads ni wale nywele zinasumbua kukua.
Hongera unazo ndefu eeehHiyo picha namba mbili ntazijaribu....... Dreads zina raha sanaa
[HASHTAG]#TeamNatural[/HASHTAG]
Asante. Zina miaka 7 kichwani you can imagine vile zimerefukaHongera unazo ndefu eeeh
Unantamanisha mi nnavozipenda hadi naona nmechelewa kuzitengenezaMi Nina nywele nyingi sanaa na zinakuwa ila niliweka dreads kwa vile Nina mahaba nazo toka shule na ni ndefu sana tu japo kuna kipindi huwa nazipunguza lakini sijawahi kujuta kuwa nazo
Duuuh I can imagine, hongera sanaAsante. Zina miaka 7 kichwani you can imagine vile zimerefuka
Hutachelewa, wakati ni sasaUnantamanisha mi nnavozipenda hadi naona nmechelewa kuzitengeneza
Asee ndefu sana hadi rahaHutachelewa, wakati ni sasaView attachment 325273
Hapo nilikuwa nimezipunguza lakini
Asante sanaAsee ndefu sana hadi raha