G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,562
- 8,425
Umenificha face yako?
Hizi hapa
Umenificha face yako?
Hizi hapa
Sasa face yangu ya nini bhana... We ona locks inatoshaUmenificha face yako?
Siku hizi kuna aina nyingi za mafuta ya kusokotea ,usitumie WAX nyeupe huwa inawasha kwani kuna original na feki yake.Mimi saloon ninayousokotea hawatumii yale mafuta meupe wana design nyingine.Pia jaribu kubadilisha mafuta ya kupaka ya ngozi wakati anakusokota akupake.Stiming inaruhusiwa tena nzuri ukiweza kufanya na product ya steaming nzuri.Mimi natengenezea hapa Tangi Bovu darajani huwa wanafanya vizuri kwa kweli kama upo Dar!Mimi nina mwaka na miezi nane sasa.nami nimeanza kusokta dreadz now zina kama miez mi 3 hivi..ila shida ni kwamba nikwa narepea yale mafuta ya kusokotea (gel wax) lazma yaniwashe sijajua tatzo ni nini....ila saloonist wangu alinishaul niwe napaka mafuta ya maji ya olive oil badala ya nazi....bt mi naprndelea zaid mafuta ya radiant....
swal langu je zaweza nikapaka hayo mafuta ya radiant kwa ajil ya mba au ntakua naziharibu nywele zangu??...na vip kufanya steaming ni ruksa au???
Hongera aisee mi Sasa zinaenda mwaka na nusu..... Akipata pia spray ya no more itchy ya Jamaican mango and lime oil ni nzuri... Mi inanisaidia sana au Ile spray ya Dreadz yenye tea tree oil...Siku hizi kuna aina nyingi za mafuta ya kusokotea ,usitumie WAX nyeupe huwa inawasha kwani kuna original na feki yake.Mimi saloon ninayousokotea hawatumii yale mafuta meupe wana design nyingine.Pia jaribu kubadilisha mafuta ya kupaka ya ngozi wakati anakusokota akupake.Stiming inaruhusiwa tena nzuri ukiweza kufanya na product ya steaming nzuri.Mimi natengenezea hapa Tangi Bovu darajani huwa wanafanya vizuri kwa kweli kama upo Dar!Mimi nina mwaka na miezi nane sasa.
Congrats... Three years na miezi nane still rocking my locksWapenzi wa dreadlocks mpo?naona niamshe huu uzi ili tuendelee kupeana uzoefu.Now nina 4 years sijutii kuwa nazo