Dreadlocks!

Ok MziziMkavu. Comment yako ya kwanza nilikuwa nakuelewa ila comment yako hii ndio bado sijaelewa.


Unaposema watu wa imani yangu wengi wenye dreadlocks hawafuati dini una maana gani? Kwenye imani yangu mimi dreadlocks ni alama ya Nadhiri kuwa natural na kuacha attachments za kibinadamu na mtu mwenye Locked hair anaheshima kubwa sana kwetu, inaashiria amejitoa katika tamaa za kimwili, ameweka nadhiri, ana wisdom, na ni mnazareti. Ndio maana tunaacha nywele zitu kama zilivyoumbwa. Mambo ya kuchana nywele ni idea za mwanadamu, ila mwanadamu wa kale aliacha nywele zake bila kuziharibu mpangilio wake. Ila kama wakati nywele zinaanza kujiweka kuwa locks zenyewe tunaruhusiwa kuzitenganisha ili iwe rahisi kuzimaintain na kiwa safi. Ila haitakiwi kutumia kemikali yoyote ile. Hii sio sheria ya imanj yangu tu, ni sheria ya Wayahudi mpaka leo hii Marabi wa kiyahudi huvaa hivyo, ni Sheria ya Ethiopian Orthodox, wasuni wa kiislam pia wapo wenye locks, Watakatifu wa kihindi na monks wa Tibet huamini hivyo. Sijaona imani inayokataa Natural-locks kwa sababu ni Natural thing, you cant ban nature.


Kuhusu mwanaume kuwa mwanamke, wapo wanaume wanaoanza locks saloon na kuzisokota saluni mara kwa mara, hao kwao ni mapambo. Kwa imani yangu hairuhusiwi, kwa sababu they use chemicals. Kumbuka kuna Natural locks na Artificial Locks ni tofauti.


Pia watu wa Imani yangu hawarihusiwi kinyoa ndevu sana maana taratibu za kunyoa ndevu zimeandikwa kwenye Torah. Almost the same with Islam.

I respect all religions na pia nafahamu kikamilifu kuwa NATURAL Dreadlocks zina heshima kubwa katika Imani karibia zote. Soma maelezo mwanzo mwa topic. Asante.
Ninarudia tena kwa imani ya Dini ya kiislam Dreadlock kwa Wanaume ni Haramu kwa wanawake ni halali. Ninafikiri nimekujibu swali lako. Na ukimuona Muislam anayo Dreadlock huyu Sio Muislam atakuwa ametoka ndani ya imani ya Dini ya Kiislam ndio hivyo kazi kwako kusuka au kunyowa.
 
Ninarudia tena kwa imani ya Dini ya kiislam Dreadlock kwa Wanaume ni Haramu kwa wanawake ni halali. Ninafikiri nimekujibu swali lako. Na ukimuona Muislam anayo Dreadlock huyu Sio Muislam atakuwa ametoka ndani ya imani ya Dini ya Kiislam ndio hivyo kazi kwako kusuka au kunyowa.

MziziMkavu. Nashukuru kwa maelezo yako. Ila sijakubaliana na wewe kuwa Natural dreadlocks hazina historia katika uislam (Mimi sio miislam, ila niliwahi kufanya conversation na Sheikh akanipa knowledge katika reasoning session).

Some debates zipo juu ya Natural Dreadlocks.... mfano

In a situation of Wudu there is no need to unlock the dreads and blocks of hair. All that is required is that you wipe over the hairs of the dread locks. But in the case of Ghusul (process of purifying the entire body via a bath) from Janabah and Menses, the hairs need to be done and washed so that all of the hairs are completely wet and the water reached your skull. The same goes for Ghusl of Janaza (funeral). If these conditions can be met, then having dreadlocks is not Haram (a sin)”

- Dr. Yusuf Ziya Kavakci, Sunni Islamic lawyer- Turkiye, Libya and Saudi Arabia

IN HISTORY:
A sect of Islam that was indigenous to the Baye Fall, Senegal, Western Africa, founded in 1887 by Shaykh Aamadu Bamba Mbakke are known for their multicolored gowns and dreadlocks. Many Sufis Rafaees, Sufi malangs and fakirs of Pakistan are known to sport different hairstyles. The culture of the Qalandari sect is a part of their lifestyle. The Qalandari sect is a Sufi group of people who do not cut their hair and neither comb it. They allow their hair to grow naturally in form of dreadlocks.

Waqalandari Dreadlocks kwao zina maana kubwa, na ni waislam wa kisufi.

Hivyo usiseme ni haram 100%!

Pia, Dreadlocks ni asili ya mwanadamu, kabla hatujagungua chana wala madawa ya nywele we had matted hair. That's the nature of human hair from their beginning. I'm not here to preach, or telln you have a dreadlocks. Kama Imani yako inakukataza na mwenzio imani yake inamwambia dreadlock hair ina maana fulani RESPECT imani ya mwenzio. We should respect imani za watu. Sio kila mwenye locks kavaa kimapambo wengine ni Imani.

Blessings. RESPECT.
 
waooooh! thanks sana, naomba kuuliza, ni vizuri ukisharepair kukaa kwenye hair drier au kuacha zikauke zenyewe taratibu?

Inategemea. Drier kwa wengine inawasaidia kufanya damu kuzunguka kwenye scalp vyema na kusaidia ukuaji wa nywele. Pia hukausha jel au wax unayokuwa umetumia. Inategemea na locktician wako wakati wa kuretwist.

Ila kwa wengine tunatumia njia za asili kutunza locks.
 
Inategemea. Drier kwa wengine inawasaidia kufanya damu kuzunguka kwenye scalp vyema na kusaidia ukuaji wa nywele. Pia hukausha jel au wax unayokuwa umetumia. Inategemea na locktician wako wakati wa kuretwist.

Ila kwa wengine tunatumia njia za asili kutunza locks.

1379808173598.jpg
KK huyoo.....
 
Njia za asili kutunza dreads ndo zipi sasa?
Inategemea. Drier kwa wengine inawasaidia kufanya damu kuzunguka kwenye scalp vyema na kusaidia ukuaji wa nywele. Pia hukausha jel au wax unayokuwa umetumia. Inategemea na locktician wako wakati wa kuretwist.

Ila kwa wengine tunatumia njia za asili kutunza locks.
 
Njia za asili kutunza dreads ndo zipi sasa?

Njia kama vile kumasage scalp mwenyewe, kutumia natural oils kama vile Mafuta ya Nazi, Olive, Aloevera, Sea Salt, kunywa maji kwa wingi, kufanya mazoezi, kuosha mara kwa mara na kuacha nywele zikue free bila kuzipeleka saluni. Just throw away your comb and let em grow.
 
Njia kama vile kumasage scalp mwenyewe, kutumia natural oils kama vile Mafuta ya Nazi, Olive, Aloevera, Sea Salt, kunywa maji kwa wingi, kufanya mazoezi, kuosha mara kwa mara na kuacha nywele zikue free bila kuzipeleka saluni. Just
throw away your comb and let em grow.

Daaa aisee tunashukuru sana kwa darasa zuri, maana umetufumbua macho hesima kwako mkuu...!!
 
Asha Zulu Mandela, Mwanamke Anayeongoza Record kwa kuwa na nywele ndefu zaidi ya duniani. She is Always proud kwa kuwa Natural African Woman.

923407_10151956321662494_18975653_n.jpg


1240224_10151954564237494_1483493652_n.jpg

1236394_10151952391762494_356768543_n.jpg


15088_10151949335752494_570702605_n.jpg


943227_10151944670067494_1799812377_n.jpg


579656_10151943570572494_994230123_n.jpg


1236852_10151943082212494_667916633_n.jpg


1231336_10151940360287494_1989669104_n.jpg


1209104_10151936018997494_1763246551_n.jpg


1174684_10151935049602494_391561311_n.jpg


1001260_10151931899222494_510726742_n.jpg


998495_10151927101957494_1353353759_n.jpg


1175551_10151925911917494_1288213665_n.jpg


557697_10151923559687494_1246781420_n.jpg


993671_10151915542337494_1553869479_n.jpg


1176391_10151904570532494_178494200_n.jpg


1175209_10151903155482494_943990548_n.jpg


1150994_10151898251322494_530967117_n.jpg


1173864_10151897772942494_15866419_n.jpg


557437_10151896376752494_1137275925_n.jpg


304022_10150487880282494_447145402_n.jpg




1001590_10151922908492494_870594353_n.jpg


1173647_10151920853257494_1165296585_n.jpg

With Her Husband.
 
Nice, Ila Kwa kuziangalia haraka nadhani hizo ni za saluni maana ni nyembamba.

Mkuu.. Sijaingia salon toka nianze kutwst..
Nilianzia kitaa na masela tu!
Am vgterian..
Nimeanza 1995,Kwazul-Natal..
Huwa nazupunguza kwa kukata Ncha kwani sipendi zivuke makalio.. na hiyo image ni 2011
Huwa naziosha ×2 kwa wk...
 
Mkuu.. Sijaingia salon toka nianze kutwst..
Nilianzia kitaa na masela tu!
Am vgterian..
Nimeanza 1995,Kwazul-Natal..
Huwa nazupunguza kwa kukata Ncha kwani sipendi zivuke makalio.. na hiyo image ni 2011
Huwa naziosha ×2 kwa wk...

Thats nice, unazitunza vizuri.

Lets share the story; ni nini kilikufanya ukaamua kuwa na dreadlocks? ni swali ninalopenda kuuliza wenye dreads. :smiling:
 
Back
Top Bottom