nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 660
- 729
Tangu tarehe 01.10.2023 kumekuwapo na vuguvugu la muungano wa vijana wapiganaji kuvamia ngome za waasi wa M23.
Vijana hawa wanaojiita wazalendo ni mchanganyiko wa vikundi vidogo vidogo vya waasi na wanamgambo nje jeshi la nchi. Wengi ni vikundi maarufu kama Mayi Mayi na Nyatura.
Wazalendo wameanza mapigano kama utani kushambulia M23. Cha ajabu ni hawa vijana wamewaelemea vikali waasi wa M23.
Kwa siku sita tu wameza kukomboa maeneo ya vijiji 21.
Ikumbukwe M23 wamekua na wapiganaji wenye rekodi kubwa na kudhaminia na jeshi la Rwanda
Mara nyingi jeshi la DRC limekua halifui dafu mbele ya hawa M23.
Mapambano yanaendelea huko. Tuwaombe rai wema wasidhurike.
Picha 1 ni orodha ya vijiji na miji iliyokombolewa na wazalendo.
Tazama video hii uone jinsi raia wa mji wa Kitchanga uliokuwa umetekwa na M23 walivyowapokea kwa shangwe wapiganaji wa Wazalendo.
View: https://twitter.com/michombero/status/1710261210103292129?t=GxgPzEyaSS4YN5iRVEyK6Q&s=19
Picha 2 ni wapiganaji Wazalendo baada ya kukomboa mji wa Kitchanga.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Vijana hawa wanaojiita wazalendo ni mchanganyiko wa vikundi vidogo vidogo vya waasi na wanamgambo nje jeshi la nchi. Wengi ni vikundi maarufu kama Mayi Mayi na Nyatura.
Wazalendo wameanza mapigano kama utani kushambulia M23. Cha ajabu ni hawa vijana wamewaelemea vikali waasi wa M23.
Kwa siku sita tu wameza kukomboa maeneo ya vijiji 21.
Ikumbukwe M23 wamekua na wapiganaji wenye rekodi kubwa na kudhaminia na jeshi la Rwanda
Mara nyingi jeshi la DRC limekua halifui dafu mbele ya hawa M23.
Mapambano yanaendelea huko. Tuwaombe rai wema wasidhurike.
Picha 1 ni orodha ya vijiji na miji iliyokombolewa na wazalendo.
Tazama video hii uone jinsi raia wa mji wa Kitchanga uliokuwa umetekwa na M23 walivyowapokea kwa shangwe wapiganaji wa Wazalendo.
View: https://twitter.com/michombero/status/1710261210103292129?t=GxgPzEyaSS4YN5iRVEyK6Q&s=19
Picha 2 ni wapiganaji Wazalendo baada ya kukomboa mji wa Kitchanga.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app