Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,207
- 12,707
Nimekuwa nawaza kuwa huenda watu walifananisha mifupa ya dinosours na kiumbe dragon. Bora umelizungumzia.
Thank you for the explanation. I am not gonna lie, this is what I love the most about Jamiiforums.
Daenerys- The Mother of Dragons.Game of thrones Yule demu na wale dragon ni jeshi kamili
Yes nilicheki yoteUkiicheki yote
Huyo huyo iseeDaenerys- The Mother of Dragons.
sawa sawa mkuu pamojaNimekuwa nawaza kuwa huenda watu walifananisha mifupa ya dinosours na kiumbe dragon. Bora umelizungumzia.
Eheheh✋Daenerys- The Mother of Dragons.
Eh pamoja mkuu karibuu🙏Thank you for the explanation. I am not gonna lie, this is what I love the most about Jamiiforums.
Hatar sana ile mkuuYes nilicheki yote
Aisee kwahyo huyo bwana Zabron Simulizi yake ni ya Nyakati hiziKama umewahi sikiliza simulizi ya bwana mmoja anaitwa zabron anaesimulia jinsi alivyopelekwa na kufanikiwa kutoroka kijiji cha kichawi gamboshi.....katika simulizi hiyo nzuri inayoelezea mambo mengi juu ya ulimwengu wa Giza tusioweza kuuona kwa macho haya ya nyama...zabron anakiri kukutana na myama kama huyu anaetema moto macho ni motooo,mkubwaaaa na ana vichwa vitano
Ndio mkuu ni simulizi ya nyakati hizii kabisaAisee kwahyo huyo bwana Zabron Simulizi yake ni ya Nyakati hizi
Kwa maana kun uwezekano wa viumbe hivi kuwepo katika Mazingira ambayo sio yetu
aiseeNdio mkuu ni simulizi ya nyakati hizii kabisa
nadhani hujasoma ,kilichoandikwa????Acha upotoshaj ayubu sura ya 41 yote kuanzia msitar wa kwanza anamtaja MAMBA NA SIFA ZAKE NA SIO DRAGON
Acha upotoshaj ayubu sura ya 41 yote kuanzia msitar wa kwanza anamtaja MAMBA NA SIFA ZAKE NA SIO DRAGON
Mamba anatema cheche? Biblia ya kiingereza inamuita Leviathan ambaye ni sort of Dragon kma tu wa Rev 12 .....Acha upotoshaj ayubu sura ya 41 yote kuanzia msitar wa kwanza anamtaja MAMBA NA SIFA ZAKE NA SIO DRAGON
shukraani mkuu kwa kujaMamba anatema cheche? Biblia ya kiingereza inamuita Leviathan ambaye ni sort of Dragon kma tu wa Rev 12 .....
Kma ni mamba basi ni Behemoth.... Ambaye wengi wanamfananisha na Dinasour ama wale vifaru wa zamani walikua size ya tembo!!
But mamba ni kituko mbele ya Dragon na Behemoth