Drafti aka Checkers au Draughts

Drafti aka Checkers au Draughts

Kwenye Dalmax checkers moves za king ziko limited...Mimi nacheza all-in-one checkers ya Pavel Porvatov na Checkers inayoendana na ya bongo ni ya Czech...Kuna difficulty level tofauti hadi professional level japo sometimes kuna moves anakulazimisha.
 
20200923_093313.jpg
 
Kwenye Dalmax checkers moves za king ziko limited...Mimi nacheza all-in-one checkers ya Pavel Porvatov na Checkers inayoendana na ya bongo ni ya Czech...Kuna difficulty level tofauti hadi professional level japo sometimes kuna moves anakulazimisha.

Dalmax Kuna Tanzania humo.

Ni vile vile tunavocheza Bongo.
 
Kwenye Dalmax checkers moves za king ziko limited...Mimi nacheza all-in-one checkers ya Pavel Porvatov na Checkers inayoendana na ya bongo ni ya Czech...Kuna difficulty level tofauti hadi professional level japo sometimes kuna moves anakulazimisha.
Umechagua Tanzania mkuu?
Mbona mi naona hakuna hizo limit za king
 
Mi Nishasema Dalmax ni level ya kawaida sana kwenye mabao.siri ya Dalmax wengi awajui, Dalmax yeye aliye-mprogram inaonekana michezo ya pembeni inampa sana shida.Dalmax ukimpelekea copy za pembeni basi una asilimia kubwa ya kumfunga au kutoa sare tofauti ukimpelekea kati basi wewe una asilimia ndogo ya kutoa sare au kufunga.

Dalmax ukimpelekea michezo ya kati inatakiwa uwe bingwa sana ndo uweze kuchomoka maana mabingwa walifanya utafiti wa michezo ya kati wakagundua kuwa kati hamna goli la lazima labda mtu hakosee, ila pembeni kuna magoli ya lazima.ili uweze kumfunga Dalmax unatakiwa ujue vigoma vingi vya pembeni kama alivyokuwa anacheza marehemu mchafu.

Kama unataka kuona mapungufu ya Dalmax nitumie namba yako ya whatsapp pm nikutumie video nilizokuwa nacheza nae, nikiwa namfunga au sale anakimbia yeye
 
Mi Nishasema Dalmax ni level ya kawaida sana kwenye mabao.siri ya Dalmax wengi awajui, Dalmax yeye aliye-mprogram inaonekana michezo ya pembeni inampa sana shida.Dalmax ukimpelekea copy za pembeni basi una asilimia kubwa ya kumfunga au kutoa sare tofauti ukimpelekea kati basi wewe una asilimia ndogo ya kutoa sare au kufunga.

Dalmax ukimpelekea michezo ya kati inatakiwa uwe bingwa sana ndo uweze kuchomoka maana mabingwa walifanya utafiti wa michezo ya kati wakagundua kuwa kati hamna goli la lazima labda mtu hakosee, ila pembeni kuna magoli ya lazima.ili uweze kumfunga Dalmax unatakiwa ujue vigoma vingi vya pembeni kama alivyokuwa anacheza marehemu mchafu.

Kama unataka kuona mapungufu ya Dalmax nitumie namba yako ya whatsapp pm nikutumie video nilizokuwa nacheza nae, nikiwa namfunga au sale anakimbia yeye
Mkuu kila ukimshinda we tuma screen shot inatosha

Sijawahi kumfunga sana sana naambulia draw
Screenshot_2020-10-03-22-24-13.jpg
 
unashindwaje kutoa sare ndugu?
Utakua unalijua sana draft, mi draw labda baada ya game 10 naaa

Naona kama unatania vile hebu badili rangi ya kete iwe nyeusi na nyeupe kisha mfunge na utume screen shot....hapo ntaamini ni mimi ndio sijui kulicheza
 
Back
Top Bottom