Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Dr.Slaa ni lina atafunga ndoa na Josefin Mushumbusi? Nilimchangia mchango wa harusi yake mpaka leo haijafanyika,,,Kama harusi imemshinda aturudishie pesa zetu

Atafunga ndoa na bimkubwa wako subiria kupata baba msomi.
 
Safari ya uhakika. Safari ya ukweli. Safari ukombozi. Dr. Slaa Rais Wa Tanzania tuitakayo.
 
Umefanya jambo jema sana mkuu kuanzisha uzi huu,

Niwaahidi tu wakuu, kitabu maalumu cha Dr W.P.Slaa kipo hatua za mwisho ambapo tunatarajia kukizindua siku ya kutangazwa mgombea wa Urais kupitia ukawa.
 
Umefanya jambo jema sana mkuu kuanzisha uzi huu,

Niwaahidi tu wakuu, kitabu maalumu cha Dr W.P.Slaa kipo hatua za mwisho ambapo tunatarajia kukizindua siku ya kutangazwa mgombea wa Urais kupitia ukawa.
Asante Yericko Nyerere kwa taarifa.tunasubiri kwa hamu "chakula cha akili" na ninaamini kitabu hicho kitatia chachu ya ukombozi maradufu
 
Last edited by a moderator:
Dr.Slaa kiukweli hata magamba wenyewe ndiyo hofu yao kuu, ila hakuna namana, lazima liwahusu safari. Wapishe Ikulu kitoho safi tu maana hakuna chama chenye Hati miliki pale bali ni yeyote waliyemkubali Watanzani na bila shaka safari hii ni Dr.W.P.Slaa!
 
Sasa kama huu uzi unamhusu Dr Slaa hiyo list of shame inahusika vipi na Dr Slaa?
 
Dr.Slaa uwa unanishangaza sana kusema kuwa Usalama wa Taifa wameiba kura zake.

Lakini kura za Ubunge na Udiwani unakiri Usalama wa Taifa hawajaiba wameiba urais tu.

Daa!!! Dr Slaa kwa hiyo Usalama wa Taifa wasingeiba kura zako ungekuwa rais na wabunge 23 tu.

Sasa huko bungeni si ingekuwa vituko.
 
Cv yake anafaa kuwa waziri wa Ustawi wa jamii tu,elimu yake ni ya kanisa zaidi haina manufaa kwa watanzania wote,nawashangaa Sana mnamuacha mtu makini na hodari anaetumainiwa ktk ulimwengu wa maendeleo Pr.Ibrahim Lipumba,mtafanya kosa Sana kuweka mtu asie Lipumba ktk ukawa,Slaa abaki kuwa waziri wa Ustawi wa jamii tu.
 
Awam Hii Iwe Mvua Liwe Jua Dr Atakwenda Magogoni Awam Hii Hatumwi Mtoto Sokoni
 
Back
Top Bottom