Dr. Wilbrod Slaa kesho kuanza rasmi vikao vya chama

Dr. Wilbrod Slaa kesho kuanza rasmi vikao vya chama

Status
Not open for further replies.
Hatimaye katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa kesho ataanza rasmi kuhudhuria vikao vya chama ambapo atahudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema.

Kuonekana kwa Dr. Slaa kesho kutamaliza rasmi mjadala wa muda mrefu na propaganda zilizotawala eti Dr. Slaa kajitoa Chadema.

Katika hatua nyingine, upigwaji wa kura za maoni katika jimbo la Kibamba kwa watia nia wa Chadema utafanyika kesho baada ya mtia nia John Mnyika kupata nafua kutokana na kusumbuliwa na homa kwa muda.

Habari na G Sam

Mnyika hali tete wala si kuumwa. Pia hiyo taarifa ya Slaa unajidanganya tu.
 
Haka kazee katawasumbua sana,Padri gani hajui kusamehe? Kweli ndiyo sababu mauaji ya kimbali Rwanda wahusika wakuu walikuwa mapadri.
 
Ah wapi kashikwa anagawa khanga duh!!!!Halafu kuta anamnanga fisadi mwenzake eti ananunu vyeo sasa sijui yeye anauza vyeo....

ImageUploadedByJamiiForums1438550292.778931.jpg

Kama hivi?
 
Hatimaye katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa kesho ataanza rasmi kuhudhuria vikao vya chama ambapo atahudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema.

Kuonekana kwa Dr. Slaa kesho kutamaliza rasmi mjadala wa muda mrefu na propaganda zilizotawala eti Dr. Slaa kajitoa Chadema.

Katika hatua nyingine, upigwaji wa kura za maoni katika jimbo la Kibamba kwa watia nia wa Chadema utafanyika kesho baada ya mtia nia John Mnyika kupata nafua kutokana na kusumbuliwa na homa kwa muda.

Habari na G Sam

Kesho utuletee picha yake akiwa kwenye vikao.
 
Salam,
wakuu,wapenz na wanachama,wapga kura wenzangu wa UKAWA, nguzo ya chama chetu,kipenz cha weng, docta wa ukwel,wilbrod slaa, hajatokea kwny kamat kuu!
maswal yangu!
1.hiv inawezekana kwel,katb mkuu na mratbu wa mktn wa kamat kuu asihudhurie kwny kikao bila taarifa zozote? ni kwel ana matatzo na tusiambiwe? au ni kwel ametuacha?
2.mh docta, kama kwel unampnga lowasa kuja,kwa kuwa tu ni fisad na ulmtaja kwny list of shame! vp wale wngn uliowataja wameshtakiwa? wamefungwa? wamehojiwa? mbn kikwete alchaguliwa kuwa rais?
3.docta wangu, hv kwel tutaendelea kuimba tu fisad,fisad,hku watz wote wamefunga mackio na kuwachagua haohao mafisad tnaowataja? je kutaja tu inasaidia?
4.docta,rud tuitoe ccm,hakika ufisad ccm ni mfumo! mbn bdo ccm wanatoa rushwa? hujackia wamekamatwa wagmbea weng wa ubunge wa ccm na TAKUKURU? kwan lowasa bdo yupo ccm?
5.docta, UHURU KENYATA, leo ni rais wa kenya,alshtakima mahakaman,lakn wakenya wakamchagua!
docta,rud tuitoe ccm!
 
Mbona baadhi ya maneno humalizii unaandika kimikato mikato?
Muache Dr apumzike, msimlishe maneno mdomoni, akihitaji kusema atasema.
 
Honeymoon ni tamu jamani, mwacheni katibu wetu afaidi.
 
Msiendelee kuingilia maisha binafsi ya mtu. Kila mtu ana faragha zake ambazo hangependa zitangazwe. Muda ukifika kila kitu kitakuwa peupe!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom