Dr. Wilbrod Slaa kesho kuanza rasmi vikao vya chama

Dr. Wilbrod Slaa kesho kuanza rasmi vikao vya chama

Status
Not open for further replies.
Hatimaye katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa kesho ataanza rasmi kuhudhuria vikao vya chama ambapo atahudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema.

Kuonekana kwa Dr. Slaa kesho kutamaliza rasmi mjadala wa muda mrefu na propaganda zilizotawala eti Dr. Slaa kajitoa Chadema.

Katika hatua nyingine, upigwaji wa kura za maoni katika jimbo la Kibamba kwa watia nia wa Chadema utafanyika kesho baada ya mtia nia John Mnyika kupata nafua kutokana na kusumbuliwa na homa kwa muda.

Habari na G Sam

Mkuu ile kesho ulioisema jana ndio leo, mbona hatuoni wala hatu sikii chochote?
 
G Sam ameonekana kikaoni?
 
Last edited by a moderator:
Dr. Yupo kikaoni.
gsam ataleta picha soon!!

Propaganda za ccm zimeshindwa.
 
Last edited by a moderator:
Tabia au utamaduni wa kususa tulianza kuushuhudia bungeni. Baadae viongozi, alianza Zitto akaja Shibuda halafu Arfi then Leticia na sasa ni Dr Slaa na Mnyika. Tabia hii imeota mizizi tuna wasiwasi mnaweza kutususia hata ikulu yetu, jirekebisheni mfanyalo si jambo dogo kwa taifa. Mnasusa na ruzuku mnaendelea kupokea hii nayo ni dhambi! Kama mnafanya hivyo kikatiba nielimisheni. Ahsante!
 
Dr. Yupo kikaoni.
gsam ataleta picha soon!!

Propaganda za ccm zimeshindwa.

Dr hayupo kikaoni

Wewe CCM hebu shughulikia mambo ya Ma CCM wenzako

Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu

Dr Slaa amejiuzulu uongozi chadema na kujivua uanachama wa chadema
 
G Sam,

A.K.A mzee wa kamba.

Wanaukumbi wanakusubiri huku.
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa kesho ataanza rasmi kuhudhuria vikao vya chama ambapo atahudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema.

Kuonekana kwa Dr. Slaa kesho kutamaliza rasmi mjadala wa muda mrefu na propaganda zilizotawala eti Dr. Slaa kajitoa Chadema.

Katika hatua nyingine, upigwaji wa kura za maoni katika jimbo la Kibamba kwa watia nia wa Chadema utafanyika kesho baada ya mtia nia John Mnyika kupata nafua kutokana na kusumbuliwa na homa kwa muda.

Habari na G Sam

Dr.Slaa alivunjika mkono na hadi sasa ana ulemavu wa kudumu kwa sababu ya kuitetea chadema. yeye mwenyewe alipigwa na kuharibiwa mimba mwaka 2011 kwa sababu ya chadema halafu leo wanapuuzwa kama vile si chochote ndani ya chama.


ana likizo ya wiki moja ishaisha..................................................

akili za bavicha kama se...ge
 
Dr hayupo kikaoni

Wewe CCM hebu shughulikia mambo ya Ma CCM wenzako

Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu

Dr Slaa amejiuzulu uongozi chadema na kujivua uanachama wa chadema


Niko hapa bahari beach,Dr yupo kikaoni!!

Zilikua mbinu za kuwapoteza Maccm!!
 
Kikubwa ni mabadiliko ndo tunayoyataka. Dr. Slaa atasema tu. Hata kama utapita mwezi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom