Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

ni leo jumatano kuanzia 5-7pm live ndani ya kipindi cha hotmix..

Ni nini ungependa kusikia toka kwake ama ufafanuzi upi na wa jambo lipi ungependa kusikia akiongelea?
mimi ningependa atuambie wazi wazi kwamba ni ipi itikadi ya chadema? Chadema ikiingia madarakani tanzania itaendelea kupokea misaada toka nje au la?
 
Nina maswali matatu kwa Dr Slaa

  1. Tuhuma za kukopa pesa za chama kwa matumizi binafsi yako zina ukweli wowote?
  2. Una mpango wa kugombea urais mwaka 2015? je chama kikikupa ridhaa uko tayari kuipeperusha bendera ya CHADEMA?
  3. Lini, unategemea kustaafu siasa na kupisha vijana kushika hatamu za uongozi na wewe ukabaki kuwa mlezi?
 
Dr.Mfumo gani mzuri wa Tume ya uchaguzi uwepo kama tutakuwa hatujapata katiba mpya katika uchaguzi mkuu ujao.
 
Hebu tueleze anafikiri nini kila akipita vijijini anaona kilio cha wananchi ni kile kile wakati alipokuwa mbunge,alipogombea uraisi na anapokwenda kuendesha operation Sangara nadhani wao wakiingia madarakani watafanya nini kumaliza vilio hivi vya wananchi
 
Ni leo jumatano kuanzia 5-7pm LIVE ndani ya kipindi cha HotMix..

Ni nini ungependa kusikia toka kwake ama ufafanuzi upi naa wa jambo lipi ungependa kusikia akiongelea?

Ni maswali mawili ya msingi kwa Dr Slaa.

1. Bavicha karibia wote wameishanunuliwa kwa kuendekeza njaa nani ataisaidia chama kushinda nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2012.

2. Kwa nini unakuwa mwepesi wa kukusanya kadi za CCM kwenye mikutano yako huku wewe mwenyewe binafsi kadi yako ya CCM umeificha mchagoni na kuilipia ada kila mwezi.
 
Ni maswali mawili ya msingi kwa Dr Slaa.

1. Bavicha karibia wote wameishanunuliwa kwa kuendekeza njaa nani ataisaidia chama kushinda nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2012.

2. Kwa nini unakuwa mwepesi wa kukusanya kadi za CCM kwenye mikutano yako huku wewe mwenyewe binafsi kadi yako ya CCM umeificha mchagoni na kuilipia ada kila mwezi.
hii single hai hit tena. zamu ya kutumia kichwa kufikiri sio saburi
 
1.Je Chadema ina wanachama wangapi na watafikia lini idadi ya wananchama wa CCM wanaosemekana kufikia milioni tano?

2. Je Chadema ikishindwa uchaguzi 2015 kwa nafasi ya raisi na mathalani kukaonekana kuwapo na mizengwe watachukua hatua gani?
 
Muulize Dr Slaa maswali yafuatayo

Ni kwanini anaonekana kuungwa mkono sana ndani na nje ya chama chake mpaka kufikia kujadiliwa na kituo maarufu duniani CNN? Nini siri yake?

Swali la pili,Anazungumziaje kuwaandaa wanachama kupata viongozi madhubuti katika uchaguzi ndani ya chama?

Swali la tatu,Anatumia njia gani kudhibiti mamluki na maadui wa Chadema?

Swali la nne,Chadema kimekuwa chama kikubwa lakini hakina vyombo vya habari na hiyo ndiyo sababu vyombo vingi vinavyomilikiwa na washirika wa CCM kutumika kukishambulia chama.Chadema inakabili vipi changamoto hii?

Swali la tano,Ni lini Chadema itakuwa na makao makuu ya kisasa yanayoendana na hadhi ya chama chake?
 
Dr atajibu swali no 1 tuu ilo la 2 Hana muda wa kupoteza kuomgelea propaganda alishajibu ilo swali long time Kuwa kaweka Kama souvenir au kumbukumbu wanaorudishaga hawana historia ya kuweka kumbukumbu Kama wewe ritz.



Ni maswali mawili ya msingi kwa Dr Slaa.

1. Bavicha karibia wote wameishanunuliwa kwa kuendekeza njaa nani ataisaidia chama kushinda nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2012.

2. Kwa nini unakuwa mwepesi wa kukusanya kadi za CCM kwenye mikutano yako huku wewe mwenyewe binafsi kadi yako ya CCM umeificha mchagoni na kuilipia ada kila mwezi.
 
Nina maswali matatu kwa Dr Slaa

  1. Tuhuma za kukopa pesa za chama kwa matumizi binafsi yako zina ukweli wowote?
  2. Una mpango wa kugombea urais mwaka 2015? je chama kikikupa ridhaa uko tayari kuipeperusha bendera ya CHADEMA?
  3. Lini, unategemea kustaafu siasa na kupisha vijana kushika hatamu za uongozi na wewe ukabaki kuwa mlezi?

get busy with your own life brother !!!

barking all day long
 
Ni leo jumatano kuanzia 5-7pm LIVE ndani ya kipindi cha HotMix..

Ni nini ungependa kusikia toka kwake ama ufafanuzi upi naa wa jambo lipi ungependa kusikia akiongelea?
Mie nataka ufafanuzi juu ya inshu ya LEMA ya ubakaji UK.
 
Back
Top Bottom