Mutasa ataanza kufa yeye, siku zote halipoti habari za mgomo harafu anasema wanadai mishahara. Huyu kijana ni mpuuzi sana amuulize Tido muhando amwambie walichomfanya. Mjinga sana huyu, harafu alijitafutia kisafari tu maana habari zikiwa hapa hakuwa anazireport
Coma maana yake yuko mahututi. Tumuombee sana kwa kweli.
Mmezitoa wapi hizi taarifa?
God is good
mpigie simu Dr mkopi
haya ni maneno ya mwenyekiti wa MAT Dr Namala Mkopi.
Dr ulimboka anaendelea vizuri na pia hayuko kwenye coma!
Siridhiki nao precisely. Ninachodhani ni kwamba utendaji wao unaingiliwa. It's suppose to be independent.
Nipe namba yake!