Nimesikia kuwa kesho itabidi afanyiwe operation ya taya, ambalo limeharibiwa vibaya ! Nilichopenda ni kuwa ma Dr. wamechachamaa na wanafanya ulinzi wao wenyewe, na hata askari waliotaka kuingia ndani ya chumba leo wakati Dhaifu anakaribia kwenda wametolewa benzi, huyu wamesema watamlinda wenyewe na hawataki hawa "wajambazi" walete sumu zao wala kumkaribia !
Safi sana hii na kaza buti wasomi nyie mpaka kieleweke !! Vasko Da Gama safari hii lazima atolewe nishai na wajaza mabakuli !
Haya ndo Uzalendo huo? Mm Kabwela wa Manzese mtanipeleka India? Mna ubaguzi na sio wazaendo kizazi chenu hebu ondokeni hapo Muhimbili sio kwenu ni pa Wazalendo na SerikaliHapana, nasikitika kusema mgonjwa wako wewe mpeleke India mpaka utakapojua kudai haki yako kwa vitendo. Ni wale tu waliojitolea kwaajili ya Tanzania bora ijayo (Wazalendo wa kweli) ndio wanatibiwa kwasasa. Mgomo uko pale pale!!
Atapona tu! wameumbuka
Mungu kawaumbua kwa mwankyembe now kwa ulimboka.. Sasa ngoja awe fit aongee yoteKwa mujibu wa Mwenyekiti wa Madactari, Dr. Ulimboka anaendelea vizuri. Inasemekana Madactari wameendelea kupokea vitisho kwa njia ya sms. Mgaya (Katibu TUCTA) amesema wapo kwenye mchakato wa kuliwasilisha jambo hilo kwenye
shirika la kazi Duniani (ILO)
, View attachment 57651
Watu wanaopata taaluma zao bila kuzihangaikia hawajui umuhimu wa taaluma zinazopatikana kwa kuhangaika. taaluma za tiba (pamoja jamii yake), uhandisi (pamoja jamii yake), sheria, na uhasibu (pamoja jamii yake) zinahitaji hesima kubwa sana kuliko taaluma ya siasa inayotikana kirahisi rahisi tu!
Pole sana Kamanda, aluta kontinua!
Aisee kumbe hawa vijana wa Kova hawana huruma aisee, jamaa wamtesa sana aisee. Lilaaniwe jeshi zima la Polisi waendelee kupewa bajeti ndogo na bunge hasa katika makazi na mishahara ili waendelee kukaa ktk nyuma za kuku
Mwenyenzi MUNGU mwenye mamlaka Mbinguni na Duniani,fanya mwujiza na huyu Ndg yetu anyanyuke na kushuhudia kwa kinywa chake alichotendewa na hw majambazi wa serikali tawala dhaifu.
Nina Imani MUNGU mwenye uweza wa yote atatenda mwujiza.