wenye elimu ya ngazi hiyo tz na wakapewa madaraka elimu zao huzificha kwenye droo na kuivaa elimu ya darasa la saba hovyo sana.Yaani nime soma hapo ---nikaona eti huyo Dr .Tulia ana PHD. .Nimeona hata aibu ''kutamka kuwa ana PHD----yaani msomi wa ngazi ya PHD ndio anakuwa na maamuzi ya double standard kama hayo ya kipuuzi. ....Aibu kubwa sana. .CCM na watu wake wanaifanya elimu ya hili taifa ionekane kuwa ni Elimu kichaa