Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

Ni beneficial kwa Familia yako na Ukoo wake, kwangu Mimi hana Jipya! Wanyakyusa hatujawahi kuwa wanafiki kamwe! So you better understand this.
 
Ni beneficial kwa Familia yako na Ukoo wake, kwangu Mimi hana Jipya! Wanyakyusa hatujawahi kuwa wanafiki kamwe! So you better understand this.

Sijaongelea issue za beneficial hilo moja. Mbili sijaongelea person but the entirety. KAMA hujaelewa soma upya hiyo post.
 
Ulinikigili ukaja nkafu. Usiamini unachoamini wewe ndio sahihi tu mengine sio. Kasoro yetu ni kuona kuwa mawazo yetu ndio sahihi na bora kuliko wengine. Ulinamanjele🙁🙁🙁🙁
Huyu mama namchukia sana hasa anavyojifanya kujua zaidi pia sura yake na urefu havinifirahishi zaidi anavyowaonea wabunge wa vyama vingine hasa chadema nikimuona tu kwenye luninga nahamisha channel
 
sifikirii kama wananchi watampa ubunge mama huyu..ila kwa kutumia nguvu ike waliyo tumia kinondoni na siha ndivyo vitakavyo mpa ubunge..over
 
Huyu mama namchukia sana hasa anavyojifanya kujua zaidi pia sura yake na urefu havinifirahishi zaidi anavyowaonea wabunge wa vyama vingine hasa chadema nikimuona tu kwenye luninga nahamisha channel
wana jamii mnajua kwanini serikali yetu haiwezi kuleta maendeleo au kuendelea?

Sababu ma PHD wengi mno wamo kwenye serikali.
Usidhani kuwa na PHD ndio mzuri kwa administration NO.
PHd zawo wakafanye research za kuleta maendeleo na siasa na administration wawaachie watu wengine.
 
Nadhani sasa mnaelewa Kwanini Jf inapigwa vita .
 
Nakala imfikie mchumi tumbo Trump 2 A.K.A Wandamba
 
Mimi sina chama lakini hamuoni kuwa mkiwa na wabunge wengi wa vyama vingine kuliko wa chama kuu nchi itakuwa na ubora zaidi? Kutakuwa na uwajibikaji zaidi?
 
Tulistuka mapema sana ! Hakika mbinu za ccm ni za kiwango cha chini sana ! Hongera intelijensia ya chadema
 
Mimi sina chama lakini hamuoni kuwa mkiwa na wabunge wengi wa vyama vingine kuliko wa chama kuu nchi itakuwa na ubora zaidi? Kutakuwa na uwajibikaji zaidi?
CCM ni waoga sana , wanaogopa mno kulipiwa kisasi kwa unyama waliotutendea
 
Mara anataka jimbo la mbeya mjini, mara rungwe, atatokea mwingine aseme huyo mama anataka jimbo la maswa😀😀

Mwacheni dada afanye yake, hata makanisani mtu mzee akiokoka huwa haulizwi ujana wake alikuwa wapi kuokoka?. Anapojitambua na kuamka, muungeni mkono chamsingi anafanya watu wafurahi, wapate kipato, wafanyabiashara wachangamkie fursa.... watu wapunguze mawazo kwa kujumuika na kukutana na watu mbalimbali humo. Mambo ya majimbo ya kugombea hiyo ni ajenda yake km anataka mwache atake, na kila anayetaka afanye lolote naye ili washindane wakati ukifika
 
Huyu Tulia namshauri atulie aokowe ndowa yake tu, huku kwenye siasa amepotoka hana upako huo. Bora Ummy Mwalimu anao mvuto wa kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…