Halinitoki povu ila naumia kuona watu hawaoni mbali.Uongozi wa Mbowe na Slaa ndo umewezesha hata wabunge waongezeke.
Ushiriki wa Slaa katika kinyang'anyiro cha Uraisi ulisaidia kukijenga chama hasa vijijini.
Slaa hakuibukia katika ukatibu mkuu kwani hata kabla ya hapo mchamgo wake bungeni ulikuwa wa hali ya juu.
Mtu yoyote anayeiona Slaa kaua chama hana kumbukumbu.
Nimeandika mara nyingi lakini angalia state interference katika mambo ya CDN na mtagundua kuwa si Slaa wala Mbowe ila serikali iko nyuma ya kuhakikisha CDM inakufa.
Narudia kuandika tena wanaofurahia kuona CDM ikifa na wale wote ambao ni myopic!!!!
Unapokuwa na chama cha upinzani ambacho mnapingana kwa hoja ni bora mara elfu kuwa na upinzani ambao hamzungumzi ila ni mitutu (south Sudan).
Multi partism ni muhimu kwa ustawi wa Taifa letu na ni lazima hata walioko CCM walifurahie jambo hili.
Umeingizwa udini,umeingizwa useja na uoaji,umeingizwa ugaidi lakini bado CDM inadunda.[/QUO
mbn povu linakutoka
dah. tuna kazi naona priduct za kayumba skul@workslaa bado yuko juu, hawezi kujiuzulu, utasubiri sana, unataka ajiuzulu ili upumue??
slaa bado yuko juu, hawezi kujiuzulu, utasubiri sana, unataka ajiuzulu ili upumue??
Kwa sasa chadema inatakiwa ipate katibu mkuu ambaye muda wote atakuwa anashinda vijijini kuhamasisha wananchi badala ya kufanya mikutano mjini tu! Bila chadema kujizatiti vijijini ni bure kabisa!
Alipoteza heshima na umaarufu ni Dk Slaa. aliefikia hatua ya kupopolewa mawe jukwaani,aliekokotwa mahakamani kwa kunyakua mke wamtu.
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.
Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.
Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.
Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.
Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.
Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.
mods: ban kwa hii mtu. au mmelala?
Babu anazeeka vibaya. Hashauriki wala haambiliki. Amegota
Hili ni neno kubwa sana..
Siku UKAWA itakapokufa ndio siku ambayo Chadema itakapobaki uchi mbele ya hadhira..
ameipeleka cdm@icu
Kwa sasa chadema inatakiwa ipate katibu mkuu ambaye muda wote atakuwa anashinda vijijini kuhamasisha wananchi badala ya kufanya mikutano mjini tu! Bila chadema kujizatiti vijijini ni bure kabisa!