Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

sasa ujinga wao ukowapi au kuzungumza ukweli ni bora tu kuzijibu tuhuma ujuulikane ukweli
 
Chadema sio lazima iongozwe na watu wa kaskazini tu. Ni muda sasa na wengine wapewe nafasi.
 
atakimaliza chama kanisan kashindwa ss kwenye siasa ndo anaua kabisas

Chama ameshakimaliza zamni sana, kumabakia jina tu wamebakia kujibanza kwa Ukawa, wanadhani Mbatia na Seif ni wajinga. wasubiri khabari yao karibuni hivi.
 
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.

Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.

Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.

Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.

Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.

Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.

We umetumwa na Nape
 
mkuu umesoma uzi au unatoa matusi2 hoja ya nguvu ni uwendawazim

hoja nimeisoma na nimeilewa sana, tatizo linakuja unapojifanya kutoa ushaur kwa jirani yako jinsi ya kumfumania mke wake wakat kwako unajua kabisa anakiuza tena bila kujivunga, ningekuona wa maana ungezungumzia ya mwenyekiti wenu kuliko majungu mnayopanga, hivi hata aibu hamuoni kisa tu elfu 7 ,halaf baada ya hapo unaingia kitaaa eti huna kazi
 
Hivi kwanini nikisoma thread zako huwa namkumbuka Zitto Kabwe yule bro aliyekuwaga anaheshimika sana kisiasa kabla hajapoteza heshima na umaarufu wa kisiasa.

Alipoteza heshima na umaarufu ni Dk Slaa. aliefikia hatua ya kupopolewa mawe jukwaani,aliekokotwa mahakamani kwa kunyakua mke wamtu.
 
Hela za ruzuku hazifiki mikoani. Wana chadema mikoani njaa zinawauma kweli. Wao wanakopeshana mapesa ya chama...
 
Mbowe na Slaa waitishe kikao cha baraza kuu ili mbivu na mbichi zijulikane.Kama wao ni wasafi itajulikana tu haina haja ya wao kuwakashifu wenzao,Wajibu tuhuma zinazowakabili maana hiyo ndiyo demokrasia wanayosema wanaipigania nchi hii.
 
Nani ashike nafac yake? Ludovi ama mwigamba wa majigambo, ama Zitto msomi mwenye maneno mengi yasiyo na strategis hadi awe rais ndo awe waz?
 
Nani ashike nafac yake? Ludovi ama mwigamba wa majigambo, ama Zitto msomi mwenye maneno mengi yasiyo na strategis hadi awe rais ndo awe waz?

wamevunja katiba kungangania madaraka
 
Wahamie ACT kwenye demokarsia, wang'atuke kama kweli wameona uozo.
 

Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.


Hili ni neno kubwa sana..

Siku UKAWA itakapokufa ndio siku ambayo Chadema itakapobaki uchi mbele ya hadhira..
 
mkuu umesoma uzi au unatoa matusi2 hoja ya nguvu ni uwendawazim


HUJIELEWI HIVI UNASOMA UKIWA UMEVAA MIUWANI YA MBAO HOJA ULIYO TOA NI IPI? ACHA USHANGINGI KICHWA CHA MADA WALA HAKI HUSIANI NA ALICHO ANDIKA?Kaa! mbali
 
Back
Top Bottom