Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

Kwako philosopy ni nin?kwanini Dr Slaa na Lipumba wana same culture kuliko Lipumba na Samweli Sitta?kwako culture ni nin?hapa nadhani kuna tatizo la definition yako ya philospoy ni nin na culture ni nin?

Fahamu tu haiwezekani watu wote ata wakiwa chama kimoja kuwa watakuwa na mtazamo mmoja kwenye kila kitu, ukiona hivyo jua kuna tatizo kubwa kwenye kundi hili kwenye bongo zao, vinginevyo binadamu watakuwa na tofauti hapa na pale.

Pia ni vizuri tuwe tunajifunza ata nchi zingine wanafanya nini, Angalia hapa: Wagombea wa chama kimoja, democratic mwaka 2008, akiwepo Clinton na Obama.
0221_debate_460x276.jpg

imrs.php

From left to right, Democratic presidential hopefuls former Sen. John Edwards, Sen. Barack Obama, New Mexico Gov. Bill Richardson, Sen. Hillary Clinton, Sen. Joseph Biden, and Sen. Christopher Dodd, are seen before the Des Moines Register Democratic Presidential Debate in Johnston, Iowa, Thursday, Dec.13, 2007. (AP Photo/Charlie Neibergall)

Hivyo tujifunze kuzoea democrasia na kuzoea kupima uwezo wa wagombea kwenye issues.Tatizo tumezoa kubeba mbuzi kwenye gunia ndio maana tunaogopa wagombea/mgombea tunayempenda kuwa atashindwa kuperform kwenye debate hivyo tunaficha udhaifu wake.Tuache hayo mambo.Tupime uwezo wa wagombea.
Kuwapima wagombea ni sawa lakn zzk anagombea nn ???? Nadhan hapo sio size yake zzt, aende mwandiga
 
Naam siku hiyo tutajua nani "tutusa / tia maji" na nani "kichwa bright", na sitegemei ile hofu kama iliyowakumba magamba nanyi iwaangukie. Tutaanza wapima enyi watngaza nia tuone umahili wenu katika kuleta porojo za alfu rela urela.
pia kumbukeni lugha itakuwa ni "yai" tu litakuwa katika ubora wake.
attachment.php

Kwanini Zitto na sio Mbatia kwenye hiyo list?

Ingekuwa ya maana kama ungewapambanisha wa UKAWA ili tuwapime kama alivyowaalika wa CCM.

Au Mafuruki nae ana MTANDAO wake kama TWAWEZA?
 
Presidential aspirants wa mwaka gani? How old is ZZK?

Ndio maana hata maCCM yaliupiga chini huu mdahalo wa kipuuzi..

Waandaaji ni makanjanja..

Mkuu umri kutofika hakumfanyi kutokuwa presidential aspirant....
 
Mag3, wewe ni mtu makini sana, sitaki kuamini kuwa tafsiri yako ya presidential aspirants ni wagombea wateule!
Zitto ni mgombea urais naye?mjadala umejikita hapo.Hakuna anayemwogopa Zitto, ni mtoto mdogo sana kwa Dr Slaa na Prof Lipumba. Zitto talks the talk while Dr Slaa and Prof Lipumba walks the walk, they can not be afraid of a small boy like Zitto,hapa tunajadili ajenda iliyojificha ya kumwalika mtu ambaye hagombei urais,lengo la mdahalo wowote ule ni kuwapima wagombea juu ya uelewa wao wa mambo na kuwapa fursa wananchi kuwaelewa wagombea wanaotaka kuwachagua.Na kwa wagombea wenyewe,mdahalo ni fursa pekee ya wao naweza kuwashawishi wananchi kwamba wanaweza kuiongoza nchi kwa mafanikio.Swali linakuja,mdahalo huu utakuwa na manufaa gani kwa Zitto mtu ambaye anagombea ubunge?of course utakuwa na manufaa kwake binafsi na kwawale wanaomtumia kisiasa.
 
Ruttashobolwa aka Ruttashoborwa na wenzako wooooote akina Ritz; Msalani; Simiyu Yetu; Allain; Mamndenyi na wajinga wajinga wote Zitto is a complete novice na Muandaa Mdahalo hajafikia hata robo viwango vya akina Rose Mwakitwange; Hamza Kassongo; Jenerali Ulimwengu etc. Pili kutomwita Mbatia ni strategy ya waliomtuma Mufuruki ili kuwavuruga Ukawa na kidudu ebola (i.e.ZZK). Rutta et el, please concentrate on your 35 CCM presidential aspirants; please leave Chadema alone.
 
Wana jamvi, Wasalaam!

Dr Slaa anataraji kukutanishwa na wataalam wa uchumi akiwemo Prof Lipumba na Zitto kabwe!

Mdahalo huo ulioandaliwa na Ndugu Mafuruku unataraji kuwa wa aina yake kwani Slaa anakutanishwa na watu wawili ambao ni moto wa kuotoa mbali kwenye mambo mbali mbali hasa ya kitaalam.... na wengi wamekuwa wakijiuliza Slaa ataongea ni mbele ya wataalam hawa wakina Lipumba na Zitto?

Namshauri Dr Slaa ajiandae mapema na chama kimpe muda wa kitosha na material kwaajili ya mdahalo huu wa kitaalam unao subiriwa kwa hamu!

Wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa Slaa atajenga hoja gani mbele ya vichwa hivi hasa Lipumba na Zitto!

Pia kuna watu wameanza kufikiri kuwa huu mdahalo unaweza kumpa ushindi lipumba na kusababisha kuteuliwa kuiwakilisha UKAWA kwenye mbio za Urais 2015!

Karibuni wana jamvi!
Ni nani kamuambia muandaaji kuwa Zitto, Slaa na Makaidi ni presidential aspirants? Mbona ni Lipumba tu ameshatangaza nia?
 
Ruttashobolwa aka Ruttashoborwa na wenzako wooooote akina Ritz; Msalani; Simiyu Yetu; Allain; Mamndenyi na wajinga wajinga wote Zitto is a complete novice na Muandaa Mdahalo hajafikia hata robo viwango vya akina Rose Mwakitwange; Hamza Kassongo; Jenerali Ulimwengu etc. Pili kutomwita Mbatia ni strategy ya waliomtuma Mufuruki ili kuwavuruga Ukawa na kidudu ebola (i.e.ZZK). Rutta et el, please concentrate on your 35 CCM presidential aspirants; please leave Chadema alone.

Hivi kwanini watanzania hatupendi changamoto??!!
Kwani wakiitwa wakazungumza tukawasikia nasi tujiridhishe kuna ubaya gani??!!
Wamekuwa viongozi for years lakini nani aliwafanyia interview??!!!

Acheni wakazungumze tuwasikie wavae viatu vya size ya kila mmoja wao, hii mambo ya "vikao vya ndani vimeamua" ndio vinatupa viongozi wasio na uwezo halafu tunalalamika.
 
Mleta mada ana internal conflict na anaonekana ni mtu wa mipasho sana.Muandaa mdahalo nae anaumwa ushabiki.Taifa lina shida kubwa sana.Zzk hata kuongea nae tu au kukutanishwa ni kushushiana hadhi,unawazaje kuwaandalia watu mdahalo na mtu asiye makini,watanzania bwana muda wote ni mizaha mizaha tu.
 
nn lengo la mdahalo? lini dr slaa na zzk wametangaza nia?nn lengo la mwandaa mdahalo kumwingiza zito?
 
Back
Top Bottom