umeona mbali maana watu wengine akili zao sijui, ni mipasho mwanzo mwishoHuu uzi upo kimipasho zaidi,laiti ungepelekwa studio na kutengenezewa beat nzuri!,bila shaka nao ungeshinda tuzo ya KTMA mwakani
umeona mbali maana watu wengine akili zao sijui, ni mipasho mwanzo mwishoHuu uzi upo kimipasho zaidi,laiti ungepelekwa studio na kutengenezewa beat nzuri!,bila shaka nao ungeshinda tuzo ya KTMA mwakani
Umri haumruhusu hivyo hata kama ana aspire ni irrelevant kwa uchaguzi wa Mwaka huu.
Mufuruki kakurupuka.
Usifikiri Kuitwa Dr kwa mapadri wa kanisa katoliki ni kusoma maandiko tu.. those dudes are packed with stuff... tough shyt!! dont miss the debate..
Ni Ph.D ya nini mkuu??!!
Hiyo ni level ya super specialization. . . ., . . So alichosoma ndio anachokijua zaid hili wala halihitaji mjadala mreeeefu weka mapenzi kando ona ukweli
Sio kishabiki ni ukweli amekutanishwa na wataalam..!
Dont miss the debate!!
Huyu mtoa mada nae ni chizi tu!
ZK ana masters ya uchumi iliyo jaa Politics and not reality!! Kuna wasomi wengi tu na Masters na PhD za uchumi ila hawatumiki ipasavyo!
Ebu weka hoja hapa za kiuchumi alizo isaidia serikali ya CCM kuondokana na wizi, umasikini, maradhi, ufinyu wa kufikiri, nk.
Huyu ZK alishiriki ktk kamati ya Madini, hakurudi na jipya (ni mchumi tumbo tu).
Ruttashobolwa
MADA ITAKUWA NI NINI?
Muhimu sio kukutanisha Zitto,Lipumba na Slaa,
cha Muhimu ni nini wanaenda kujadili?,kwani Slaa ni Mchumi?,wanaenda kujadili mageuzi,mustakabali wa Nchi yetu,au sera zao au nini?wote ni Vyama vya Upinzani...Au ni mdahalo wa Jumla/Mi sijaelewa kabisa hapo...Au kila Mtu ataeleza sera za chama chake?
Maanake Mtoa mada alivyoibua hii hoja utadhani wanaenda kutafuta nani Mshindi au kusutana...hivyo watu tukae Mkao wa kula...
Ndani ya Kanisa Katoliki mtu kufikia PhD level anakuwa amesomea vitu vingi siyo mambo ya kanisa pekee. Jiulize kwa nini wanaena kusoma chuo kinaitwa De Propaganda Fidei?Ni Ph.D ya nini mkuu??!!
Hiyo ni level ya super specialization. . . ., . . So alichosoma ndio anachokijua zaid hili wala halihitaji mjadala mreeeefu weka mapenzi kando ona ukweli
It is just an aspiration. . . . .Yeye kateua hao labda tungehoji vigezo vyake lakini si kusema Zitto hafai kuwa katika huo mdahalo. . . .
Hebu niambie hasara au athari zitazotokea iwapo Zitto atashiriki
Sio kishabiki ni ukweli amekutanishwa na wataalam..!
Wana jamvi, Wasalaam!
Dr Slaa anataraji kukutanishwa na wataalam wa uchumi akiwemo Prof Lipumba na Zitto kabwe!
Mdahalo huo ulioandaliwa na Ndugu Mafuruku unataraji kuwa wa aina yake kwani Slaa anakutanishwa na watu wawili ambao ni moto wa kuotoa mbali kwenye mambo mbali mbali hasa ya kitaalam.... na wengi wamekuwa wakijiuliza Slaa ataongea ni mbele ya wataalam hawa wakina Lipumba na Zitto?
Namshauri Dr Slaa ajiandae mapema na chama kimpe muda wa kitosha na material kwaajili ya mdahalo huu wa kitaalam unao subiriwa kwa hamu!
Wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa Slaa atajenga hoja gani mbele ya vichwa hivi hasa Lipumba na Zitto!
Pia kuna watu wameanza kufikiri kuwa huu mdahalo unaweza kumpa ushindi lipumba na kusababisha kuteuliwa kuiwakilisha UKAWA kwenye mbio za Urais 2015!
Karibuni wana jamvi!