Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Kaka nakushukuru kwa taarifa hiyo, ni kweli uliyoongea n nayaombea kwa mwenyezi Mungu. Nashangaa watu wanaotaka kuona tunaendelea kuishi hivi kwa kunifaisha matumbo yao. Taratibu tutafika .....Mimi mwaka huu silali mpaka nipige kura piga ua labda nife ili waibe zoooote.