Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
muweke dr upande mmoja na shibuda upande mwingine kama slaa hajakaa amezoea kuwafukuza vidagaa .zitto.shibuda hawez atakoma slaa anatakiwa kukakimya kwg hili.hongera kwa kusema ukweli dr
Dr. Slaa siku hizi anafukuza au kuna utaratibu wa kichama kuwafukuza wasiowaadilifu katika chama. Matata wa Mza yuko wapi? CDM msimfukuze huyu Shibuda maana CCM wao kila siku ni kuidhoofisha CDM kiakili na kifedha.