Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Dr Slaa hana meno ya kumng'ata Shibuda anaishia kubweka tu.
 
Shibuda ni mnomaa sana.ni unique politician,sijapata ona na ana maconfidence ya kufa mtu.
 
Mrisho Ngasa hawezi kutia pua kwa Lionel Messi hata siku moja; weee thubutu yake anamjua vizuri sana is wote walikuwa makada au mmesahau hilo!

Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Majibu mepesi katika maswali magumu, yatamtokea puani huyu mzee, chezea SHIBUDA weye.

Shibuda ana mambo gani magumu ya kuogopwa au kupewe majibu mepesi? Mbona mwenyewe ni mweupe na mwepesi kabisa!!!! Au ni zile nahau zisizo na logic basi ndio maswali magumu yanapo onekana?
 
Dr amesema vyema, hawezi kumwekea shibuda maneno ya kuzungumza. Dawa ya shibuda ni kupuuzwa tu!
 
Ni kichaa tuu anayeweza kujibizana na shibuda.MASHA aliwahi kumwambia mbowe huyu mwehu hamta muweza afadhali mmetuondolea mzigo.
 
Dr Slaa ana akili sana, anajua kuwa Shibudu anatekeleza mbinu za ma CCM kutaka kuivuruga CDM......na mbinu ya kumtaka Slaa ajibu pumba za Shibudu ulikuwa ni mtego ulioonwa na mtu makini na mkweli kwa waTz.
 
Ukiona Dr.W.Slaa katoa kauli ya hivyo ujue basi ni lengo la kutaka kuepusha majibishano yasiyo na kichwa wala miguu, ila kwa wanaojua ukweli ni kwamba Shibuda safari hii hata maliza miezi 6 akiwa bado ni mwanachama kwani naamin CHADEMA huwa haikurupuki bali huwa inaacha mtu ajikoroge kwanza then ndio wanakupa ile kitu inayotwa"Things faling apart" kama wale masalia PM7, kwani kuna siku nilimuhoji John Mnyika humu swali kuwa ni kwanini mlikuwa mmewaacha masalia siku zote waki-misbehave alafu leo ndo mnawatimua? Ila akanijibu kwamba chama huwa kinaona lakin ushahidi huwa unakusanywa kwanza kwa mujibu wa katiba ili kuepusha upotoshaji wowote usio na maana.

CC: Ben Saanane, Molemo
 
Last edited by a moderator:
Dr Slaa hana meno ya kumng'ata Shibuda anaishia kubweka tu.
Kukuwako mwenyewe, yanini kumshikia manati? Wakati wowote waweza kumkamata na kumchinja. Big up Dr. wakati ukifika atakamatwa na kuchinjwa.
 
Mrisho Ngasa hawezi kutia pua kwa Lionel Messi hata siku moja; weee thubutu yake anamjua vizuri sana is wote walikuwa makada au mmesahau hilo!

Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

nani mrisho na nani messi?
 
Mbona wale akina Shonza waliosema wayatakayo wamewajibishwa,Shibuda ni zaidi ya CHADEMA???!!!ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !

Unajua ukiwa shabiki ni kuwadi la maCCM ni lazima uwe na akili ya pepo mchafu yule mkuu wa anga, kwani upeo unakuwa mdogo sana, Chama kikiwatimua waasi nyie pro-magamba mnapiga kelele na kutoa povu eti CHADEMA madikteta, sijui wabakahi wa demokrasia etc, Lakin pia Chama kikiwaacha waasi mnaanza kucheka na kuleta unafiki eti mara oooh! Wameogopwa!
Ndio maana mi huwa nasema kuwa huwa mnahitaji maombi na si bure..!
 
Ukijibizana na kichaa na wewe unaonekana kichaa..hongera dk.
 
Shibudaaa,nakumbuka style yake ya kupanda jukwaani na kutunisha msuli wa mkono kumbe anamaanisha? haa ha ha haaaa...
 
Shibuda ni mamluki,anaonekana dhahiri mtizamo wake.BUT time will tell
 
Ni kichaa tuu anayeweza kujibizana na shibuda.MASHA aliwahi kumwambia mbowe huyu mwehu hamta muweza afadhali mmetuondolea mzigo.

Una maanisha Ndg Lawrence Masha anaupeo mkubwa kuliko Ndg Freeman Mbowe shauri yako utaporwa Kadi yako?
 
Back
Top Bottom