Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Mbona wale akina Shonza waliosema wayatakayo wamewajibishwa,Shibuda ni zaidi ya CHADEMA???!!!ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !

Na wewe uwe unatumia akili angalau mara moja moja! Dr Slaa alimjibu nani na lini?
 
Shibuda ana mambo gani magumu ya kuogopwa au kupewe majibu mepesi? Mbona mwenyewe ni mweupe na mwepesi kabisa!!!! Au ni zile nahau zisizo na logic basi ndio maswali magumu yanapo onekana?

mbona kunawengine bila ya kumtaja steve biko, malcome X Chegue huavara hotuba zao zinayumba[ MBOWE NA LEMA] wazee wakucopy na kupaste na kama dr hawezi kubishana na mpuuzi mbona alipambana na madiwani wa Arusha kwanini Shibuda na Zitto waachwe?KWELI NIMEAMINI SHIBUDA NI DROGBA
 
Shibuda ni mamluki,anaonekana dhahiri mtizamo wake.BUT time will tell
Mtasubiri sana hamna la kumfanya Messi a.k.a La Pulga kwa kuwa kashikilia ruzuku na njaa yenu mtalazimika kumlamba miguu.
 
katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Dr W. Slaa amesema hawezi kujibishana na Mbunge wa Maswa mashariki Mangale Shimbuda na akaongeza kuwa shibuda anauhuru wa kusema atakacho...



source magazetini

Dr Slaa na Mbowe wote wanamuogopa Shibuda. Huo ndiyo ukweli wajaribu kumfukuza waone.
 
Ukiona Dr.W.Slaa katoa kauli ya hivyo ujue basi ni lengo la kutaka kuepusha majibishano yasiyo na kichwa wala miguu, ila kwa wanaojua ukweli ni kwamba Shibuda safari hii hata maliza miezi 6 akiwa bado ni mwanachama kwani naamin CHADEMA huwa haikurupuki bali huwa inaacha mtu ajikoroge kwanza then ndio wanakupa ile kitu inayotwa"Things faling apart" kama wale masalia PM7, kwani kuna siku nilimuhoji John Mnyika humu swali kuwa ni kwanini mlikuwa mmewaacha masalia siku zote waki-misbehave alafu leo ndo mnawatimua? Ila akanijibu kwamba chama huwa kinaona lakin ushahidi huwa unakusanywa kwanza kwa mujibu wa katiba ili kuepusha upotoshaji wowote usio na maana.

CC: Ben Saanane, Molemo

Kaka umesema vema....hawajui TISS ya chadema inavyofanya kazi. Time will tell. Hii mijitu cdm ikichukua nchi washughulikiwe kama wahaini.
 
Last edited by a moderator:
mbona kunawengine bila ya kumtaja steve biko, malcome X Chegue huavara hotuba zao zinayumba[ MBOWE NA LEMA] wazee wakucopy na kupaste na kama dr hawezi kubishana na mpuuzi mbona alipambana na madiwani wa Arusha kwanini Shibuda na Zitto waachwe?KWELI NIMEAMINI SHIBUDA NI DROGBA

Mtu yeyote makini ni lazima atumie nukuu ya watu mashuhuri ili kujenga hoja vividly na huo ndio msingi wa kujibu hoja hata darasani ukijibu poems or novels lazima utumie hata some quotation ili kuleta hoja yenye mantiki
lakin sasa wewe mzenji ulitaka sijui watumie quotation za wakina Mzee yusuph au tip tip?
 
Sosi ni gazeti la tanzania daima, mbona unaogopa kusema una generalise?
 
Ningemshangaa Rais Mtarajiwa Dr Slaa kama angemjibu msemaovyo Shibuda.Dr Slaa siyo size ya mfamaji kama Shibuda
 
Dr Slaa na Mbowe wote wanamuogopa Shibuda. Huo ndiyo ukweli wajaribu kumfukuza waone.

Mkuu Ritz Shibuda alivyokuwa anaropoka utumbo akiwa CCM uliwahi msikia Rais Kikwete akimjibu?

Shibuda ni kama Kibwetere.
 
Last edited by a moderator:
Dr Slaa anaongozwa na hekima na busara wakati Shibuda anaongozwa na makamasi yaliyojaa kichwani mwake.
 
Mimi najua CHADEMA ni chama makin sana kinachojua nini kinafanya ukilinganisha na vyama vingine tanzania, hivyo bas kunahaja ya kuangalia namna ya kuweza kuwapata wanachama wema na wenye mapenzime na chama kuliko inavyotokea kwa shibuda. Nimalizie kwa kusema hivi "success requires no explanation"
 
Nilikuwa shimoni kitambo ndo kwanza nimeibuka nijuzeni hivi shibs kasema nini jamani tena?
 
Back
Top Bottom