Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

mbona kunawengine bila ya kumtaja steve biko, malcome X Chegue huavara hotuba zao zinayumba[ MBOWE NA LEMA] wazee wakucopy na kupaste na kama dr hawezi kubishana na mpuuzi mbona alipambana na madiwani wa Arusha kwanini Shibuda na Zitto waachwe?KWELI NIMEAMINI SHIBUDA NI DROGBA

Wewe lazima utakuwa na elimu ya kuungaunga. Since when quoting accepted and famous quotes became "copy and paste"?
 
Correct. Certainly Shibuda is entitled to his own opinion and he is as free to air his views as anybody is to disagree with him.Even a compound fool has his side of the story they say.
 
Buda hana la kumjibu Dr. Kikwete alikataa kuwekwa kwene bench na Dr Slaa wakati wa uchaguzi kwa kuogopa hoja nzito. Huyu ni Dr bwana hajatunukiwa amekaa darasani na akatetea research yake mbele ya ma prof. Buda hana jipya alianza ccm ooh nitagombea urais wakamtimua, huku nako anataka kuleta us**e. 2015 mwisho wake.
 
Shibuda mjanja anataka kuleta maneno ya hovyo ili kuleta ligi na CDM, ili kutimiza malengo ya CCM kukuza migogoro ndani ya Chadema.Kuvuruga harakati za xhama ,Na pia kukuza jina La Shibuda kupitia media.

Chamsingi wampuuze , Hizi ni dalili za wanasiasa kufikia ukingoni.Shibuda anajianganya anauwezo mkubwa wa siasa za fitina.Hajuai kwamba "Hata kama una medani ya Riadha ya dunia bado hutaweza kusafiri kwa miguu".
 
katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Dr W. Slaa amesema hawezi kujibishana na Mbunge wa Maswa mashariki Mangale Shimbuda na akaongeza kuwa shibuda anauhuru wa kusema atakacho...<br>
<br>
<br>
<br>
source magazetini
<br><br>

Nakumbuka mwaka 1995 although nilikuwa mdogo, CCM ikiwa inajotokubwa sana la uchaguzi kutoka kwa NCCR- mageuzi chini ya mgombea wao wa uraisi Ndg. Mrema, kulikuwa na utaratibu vijana wanasukuma gari yake, serikali ikataka kuwapiga marufuku, Mwl. Nyerere akawaambia waacheni wakichoka wataacha vinginevyo ni kuendelea kumpa umaarufu Mrema, so Dr. kasema sahihi kabisa &nbsp;kuendelea kujibizana na Shibuda ni kumpa umaarufu, sifa ambayo hana na hastaili kwa sasa!
 
kuna kitu huwa kinaniudhi sana na ndio kwa mara ya kwanza naelewa kwa nini viongozi wengine wanawaua wapinzani wao. Hivi hawa watu wanaomtukana na kumdhara Dr slaa kila siku humu ndani wanataka nini? yaani ni kweli hawa ni vipofu namna hii kwamba hawaoni kwamba Slaa ametoa maisha yake kwa ajili ya wanyonge wengi? mimi sio CDM lakin nilishiriki uchaguzi na nilikua ndani sana na niliona hata kura zake zilivyoibiwa na uthibitisho wa kisayansi watanzania wote tumeuona kwamba JK hakupita bali Slaa alichaguliwa na watanzania kwa asilimia zaidi ya 67 hata baada ya kuibiwa. sasa wewe usiku na mchana unamdharau huyu mtu kwa kupewa vihela, mimi naamini mungu yupo, kweli wewe hata pamoja na hizo hela unategemewa utapata baraka zozote humu duniani? laana zinatabia ya kuhama, sasa je unawatoto? na wajukuu, unadhani watapona hiyo laana yako ya chuki ya kulipwa? ndio maana nasema huu uonevu kwa dr slaa unatofauti gani na uonevu wa serikali kwa watu wake tunaoulalamikia, au nyie wenzetu hamuonewi? ndio maana wengine wanaweza kuua hata kama dini zetu zinatukataza mnataka nini? eti mtu anaweza kumlinganisha Shibuda mbwa koko na Dr Slaa, shibuda aliokotwa na mimi nilishiriki kumuokota kwa ITV kutuma muandishi kwa gari usiku kucha barabarani baada ya CCM kutangaza kwamba amejitoa, aligalagazwa kule na kiswahili chake cha kike jitu kubwa anatia kinyaa nilikutana nae pale hoteli ya paradise nyuma ya ATC hata viatu hawezi kuvaa, leo kavalishwa pampers anajamba cheche, he is a prostitute na hana chochote kisiasas, chadema hawawezi kumfukuza sasa kwa kuwa nia yake ni kuleta migogoro kama ile aliyoifuga hata kule CCM kwao, eti anagombea urais kum challenge mkapa, mara kajitoa bila kuombwa, halafu anagombea tena kum challenge kikwetu, mara anazunguka kuomba tumuandikie kitabu chake, nayeye anajiona ana historia, ni laana tupu afie mbele
 
Kwa sababu wote waweza onekana ni wanamatatizo katika halmashauri zao za akili
 
Kuna vijana walipewa kazi ya kuboa Chadema kupitia umoja wa vijana na kuna wazee akiwemo Shibuda walikabiziwa viongozi wa kitaifa. Nasigitika kuona kazi yake imefika mwisho bila kufanikisha malengo yake.
 
mbona kunawengine bila ya kumtaja steve biko, malcome X Chegue huavara hotuba zao zinayumba[ MBOWE NA LEMA] wazee wakucopy na kupaste na kama dr hawezi kubishana na mpuuzi mbona alipambana na madiwani wa Arusha kwanini Shibuda na Zitto waachwe?KWELI NIMEAMINI SHIBUDA NI DROGBA

mwaka huu mtamwita hata Mungu wenu ila dk ashasema hamjibu
 
Mbona wale akina Shonza waliosema wayatakayo wamewajibishwa,Shibuda ni zaidi ya CHADEMA???!!!ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !

Muuaji wa tembo(kinana)ni zaidi ya ccm,na mafisa ni zaidi ya ccm ndo mana hawafukuzwi.
 
unajua mbunge kuna wakati maneno yake akiongea analindwa na bunge hivyo lazima uwe makini..
Nikumbushe kidogo, ile sheria si mpaka uongee ndani bunge? Nafikiri shibuda aliongea akiwa nje ya shughuli za bunge.
 
Haina haja hata ya kupoteza mda kumfukuza, ataondoka mwenyewe na aibu tele, na tuone atahamia chama gani. Maana hana tena mvuto wa kisiasa na kajiua mwenyewe kutokana na ulimbukeni wake.
kama ni hivyo mkuu hana faida kwenye chama na hafai anapaswa kuondolewa kama walivyofanyiwa wengine wenye tabia kama zake,cham kinahitaji watu wenye kukisaidia kwa mawazo,na mambo mengine ya muhimu ili kukijenga!!!!!
 
angalia dunia itakucheka yaani dr slaa hana hoja za kumjibu shibuda, si kwamba kujibisha na chizi mwisho wa siku mtaonekana wote machizi..

Ni kweli babu slaa hana hoja za kujibu wameshindwa za juliana wamebaki kutumia nguvu na kutumia meneno ya kejeli badala kujibu hoja
 
Shibuda ni salia jingine linahitaji muda kuliondoa.
 
Back
Top Bottom