Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

unajua mbunge kuna wakati maneno yake akiongea analindwa na bunge hivyo lazima uwe makini sana na dr dr ni moja ya watu walio makini..kumchinja kobe inahitaji timing..
ni kweli Mkuu kumchinja Kobe kunataka timing ila Hii timing wanayofanya kwa Zitto na shibuda miaka yote itakuja Kuki cost chadema sana.Kama Mb'unge shibuda na Zitto cdm tunashindwa kuwafukuzia mbali all this years je wakiwa mawaziri kwenye serikali ya cdm after JK je si yatakuwa yaleyale ya Pinda kwamba ukiwakamata mafisadi nchi itayumba....Sometime I feel like not to trust no buddy sometimes naona ntakuwa nauza uhuru wangu yani vice verse
 
Sina shaka kuwa hiki ndiyo kipindi cha Mwisho kwa Shibuda kuwamo bungeni , 2015 hatokuwa mgombea wa Cdm , na ndiyo utakuwa mwisho wa ubunge Milele , ukombozi ukifika katika kijiji chako huwa hauondoki , Kuna anayemkumbuka Mpemba Mmoja Akiitwa SUKWA SAID SUKWA ? Ukombozi ulipoingia Pemba amepotea jumla ! Haikujalisha Umaarufu wake , huu ndiyo Mwisho kabisa wa John Shibuda Kisiasa , Take my words .
 
lazima ashindwe kumjibu make slaa hana hoja huwa ni bingwa wa kuropoka


ww shibuda unamsikia au unamjua, yaani jamaa huwa haoni aibu kuropoka jambo lolote analojisikia kusema, ccm walitaka cdm wamfukuze jimbo liwe wazi wagombanie, kutokana na hila hiyo, cdm waliamua kumuacha ajikaange kwa mafuta yake. umaarufu aliokuwa nao kabla kwa sasa hana

si unakumbuka hata ccm alivyowafanya wakamwengua akaja kugombea kwa tiketi ya cdm, ukimwondoa , ccm watamdaka haraka na kumtumia kuhujumu matokeo ya uchaguzi na kumtupa, dawa unamuondoa ktk vikao vya maamuzi na kumjengea mazingira ya kuonekana kuwa sio mtu mwadilifu anayefaa kuaminiwa na akishapoteza umaarufu kabisa unamuondoa katika chama, mwisho anakuwa frustrated

hii ndiyo technic inayofaa kuchukuliwa, kama ulikuwa hujui
 
Huyu Shibuda ni tatizo sana,hana mpya wala nini.

Ni wakupuuzwa tu!
 
kuna kitu huwa kinaniudhi sana na ndio kwa mara ya kwanza naelewa kwa nini viongozi wengine wanawaua wapinzani wao. Hivi hawa watu wanaomtukana na kumdhara Dr slaa kila siku humu ndani wanataka nini? yaani ni kweli hawa ni vipofu namna hii kwamba hawaoni kwamba Slaa ametoa maisha yake kwa ajili ya wanyonge wengi? mimi sio CDM lakin nilishiriki uchaguzi na nilikua ndani sana na niliona hata kura zake zilivyoibiwa na uthibitisho wa kisayansi watanzania wote tumeuona kwamba JK hakupita bali Slaa alichaguliwa na watanzania kwa asilimia zaidi ya 67 hata baada ya kuibiwa. sasa wewe usiku na mchana unamdharau huyu mtu kwa kupewa vihela, mimi naamini mungu yupo, kweli wewe hata pamoja na hizo hela unategemewa utapata baraka zozote humu duniani? laana zinatabia ya kuhama, sasa je unawatoto? na wajukuu, unadhani watapona hiyo laana yako ya chuki ya kulipwa? ndio maana nasema huu uonevu kwa dr slaa unatofauti gani na uonevu wa serikali kwa watu wake tunaoulalamikia, au nyie wenzetu hamuonewi? ndio maana wengine wanaweza kuua hata kama dini zetu zinatukataza mnataka nini? eti mtu anaweza kumlinganisha Shibuda mbwa koko na Dr Slaa, shibuda aliokotwa na mimi nilishiriki kumuokota kwa ITV kutuma muandishi kwa gari usiku kucha barabarani baada ya CCM kutangaza kwamba amejitoa, aligalagazwa kule na kiswahili chake cha kike jitu kubwa anatia kinyaa nilikutana nae pale hoteli ya paradise nyuma ya ATC hata viatu hawezi kuvaa, leo kavalishwa pampers anajamba cheche, he is a prostitute na hana chochote kisiasas, chadema hawawezi kumfukuza sasa kwa kuwa nia yake ni kuleta migogoro kama ile aliyoifuga hata kule CCM kwao, eti anagombea urais kum challenge mkapa, mara kajitoa bila kuombwa, halafu anagombea tena kum challenge kikwetu, mara anazunguka kuomba tumuandikie kitabu chake, nayeye anajiona ana historia, ni laana tupu afie mbele
Toke nimekuwa member wa jf sijawahi kumuona mtu ignorant like you kwani dr slaa ni nani katika hii nchi wali kosolewa mitume itakuja kuwa huyu babu halafu munajiita ma great thinker wengine simukapige tarumbeta kwenye maharusi
 
huyu shibuda kaja kama mamluki.,ametumwa kusikiliza cdm wanasemaje.
kuwen makin naye hzo ni chokochoko.
 
katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Dr W. Slaa amesema hawezi kujibishana na Mbunge wa Maswa mashariki Mangale Shimbuda na akaongeza kuwa shibuda anauhuru wa kusema atakacho...



source magazetini
asikimbilie kusema hajibishani na shibuda tunataka akanushe kwa ushahidi kwamba cdm hakuna ukanda wala ukabila kwa vielelezo sio tu kusema sijibishani ni ishara ya kuguswa na ukweli
 
Habari ya Shibuda na dr slaa imenikumbusha zamani sana,
Wakati nakua mama yangu alikuwa mwalimu huko mbeya, katika moja ya darasa kulikuwa na mwanafunzi mmoja ambae hakuwa na akili timamu..
Nakumbuka ikitokea wanafunzi ambao mama anawaamini wakikosa mambo ambayo alikuwa anaamini kwa uwezo wao hawastahili kukosa alikuwa anawaadhibu kwa viboko..! Lakini yule asiye na akili timamu mimi ndo nilipewa kazi ya kujifunza kupiga tiki na kuandika vema sana kwenye daftari lake wakati ki ukweli anakuwa amechorachora tu!
shibuda amejidharaulisha mwenyewe amefikia mahali hata aongee nini watu hawashtuki, tumwache tu
 
Embu wajaribu kumfukuza waone chadema kitakavyo kaa uchi.Chezea Msukuma mjanja.
 
Naipenda CHADEMA hasa linapofika suala la kufanya mamuzi,hawana matat hata kidogo na hakuna kubembelezana,lakini najiuliza kuna nini kwa huyu Shibuda kwa sababu si mara moja,mbili,tatu au nne

Shibuda ana kazi yake maalum aliyopewa na ccm, akifukuzwa itakuwa imetimia, akibaki ndani ya Chadema malengo na mawazo ya ccm yatakuwa yamekwama, ukitaka kuufahamu undani tafuta watu wakuelezee.
 
Shibuda ana kazi yake maalum aliyopewa na ccm, akifukuzwa itakuwa imetimia, akibaki ndani ya Chadema malengo na mawazo ya ccm yatakuwa yamekwama, ukitaka kuufahamu undani tafuta watu wakuelezee.
huo ndo ukweli, Shibuda mission yake na Ccm ni kutaka kufukuzwa ili ionekane chadema hawawataki wasukuma au watu toka mikoa mingine na ni madikteta, lengo aharibu mvuto wa chadema kanda ya ziwa, sasa kitendo cha kutomfukuza na kuishia kumdharau kinammaliza nguvu yeye waliomtuma, wamwache hivyo najua tu ameandaliwa asipofukuzwa atajitoa karibu na 2015 wakati uchaguzi ukikaribia, huu ndo mwisho wake, maana hata ccm wanamtumia tu hawamtaki!
 
Back
Top Bottom