...Ngurumo amepika hizo data? hujawai kuwa ktk newsroom? kuona namna waandishi wanavyopika data ili kujenga misimamo yao?....By the Way Slaa hawezi kuwa mgombea wa watanzania...bado ni Mgombea wa Chama chake...ready Vyama vingine vina wagombea wake tena makini kuliko SLAA...akishinda Urais ndio anaweza kuwa Rais wa Watanzania...waache watanzania wachague...!!
Nakuhakikishia utawapata wachache sana hapa.....
Kwa knowledge yangu ndogo ya IT, kuna kila dalili kwamba Malaria Sugu ni moja kati ya Mods humu. Naombeni nisishughulikiwe.
Hizi siasa kwa kweli zina shida sana. Sasa huyu bwana anasema ukifananisha Slaa na JK, Slaa ana haiba sana na mvuto kwa watu. Hii inaleta mantiki kuwa Slaa akishinda anakuja kuongoza nchi hii peke yake? Unaposema watu wanachangu mtu na si chama, unataka kusema kuwa Freeman Mbowe hakuwa na mvuto mara zote alizogombea Urais na ndiyo maana akapigwa na chini. Sasa, wakati huo huo huyu Slaa akija kuwa rais wa nch,i ni nini position ya Freeman Mbowe na wasanii wengine wa chama chake ambao ni kibao?
Makala kama hizi mwandikaji lazima awe anaweza sasambua sana hoja na si kuzizunguka. Inatakiwa kundwa hoja ya nguvu sana na si kusukuma hoja. Hadanganywi mtu hapa. Nakuhakikishia utawapata wachache sana hapa.....
Jitoe humu kama unaliamaini hilo.hii ni Chadema forum
Mfano wako hauna mashiko,ona Obama anafanya nini kwa sasa...Mwai Kibaki kati anaingia madarakani alisema kuwa atabadilisha katiba ndani ya siku 90, mpaka uchaguzi mwengine ulifika hajafanya lolote.
Kwa hiyo tuache kuongopena
Slaa hajawahi kuwa hata mkuu wa mkoa/wilaya, hakuna anayejua utendaji kazi wake zaidi ya kuongea bungeni
Print makala hii halafu toa photocopy nyingi sana halafu sambaza. Ni 2 pages hivyo kwa photocopy itacost 100/=. Kama umeguswa sana na suala hili, ukitumia 20,000/=, utatengeneza copy 200 ambazo wakisoma kwa kupokezana watu 5 then ujumbe utakuwa umewafikia watu 1000!Asante PJ kwa makala iliyokwenda skuli. Natamani makala hii ingesomwa na watu wengi zaidi ingeleta mabadiliko ya kifikra na kimtazamo pia. Kila la kheri Dr Slaa na kikosi chako.
Hapa hakuna la CHADEMA. Ni Utanzania. Na hii ndiyo bendera ambayo baadhi yetu tunataka ipeperushwe na Dk. Slaa. Tusisite, tusione aibu kutetea kitu chema. Watanzania muungeni mkono.
Source: By Ansbert Ngurumo Tanzania Daima
Kwa hiyo Kikwete ni Rais wa CCM?Jibu kwa Ansbert,
As long as Slaa anagombea kama mgombea wa CHADEMA tu bila ya kuungwa mkono ama kuungana na wenzake atleast CUF na NCCR Mageuzi basi huyo ni mgombea wenu CHADEMA na sio wa watanzania. Hizi propaganda zenu mzifanye kukiwa na nia thabiti ya kumfanya awe mgombea wa watanzania na mojawapo ni kuchana na upuuzi wa kutokuaminiana na kuonana kuwa wenzenu wanatumiwa na CCM kuliko ninyi wakati attitude hiyo tu inayopelekea kutokuunganisha nguvu ni moja ya aina ya kutumiwa na CCM.
Lakini pia dawa pekee ya kuondokana na mazingira ya kufanikiwa kwa tuhuma na propaganda za udini kwa upande na ukabila (Uchaga - Ukristo) na CUF (Uislamu - Uswahili) ni kuungana na sio kuwatuma watu ambao kwa undani wanaamini kuwa watafaidika na siasa hizo kukanusha.
Waambie hao mabosi wako kuwa bila ya kuungana ama kushirikiana wajiandae na adhabu ya nguvu ya umma.
omarilyas
Ndugu utofautishe kuongea na kuact, hivi ni vitu viwili tofauti. Kila siku huwa anaongea sijui Mkapa alifanya hivi na vile unafikiri akiwa rais anaweza kumfikisha Mkapa mahakamani? Ni rahisi kihivyo? Mimi naona tumepoteza mtu mhimu sana bungeni kwani huwa nafurahia sana jinsi anavyojenga hoja. Lakini hilo halimaanishi kuwa na kuact itakuwa hivyo. Lakini pia nawasiwasi na huyu bwana anaweza akatufikisha pabaya kwani inaonekana si mvumilivu kabisa. Kama mtakumbuka alivyowafukuza uongozi wanachama wenzake kwa sababu tu watofautiana kitu ambacho ni cha kawaida kabisa hata mke na mme au kaka na dada hutofautiana. Je akiwa na mamlaka ya juu na akaingiza interest zake na kakikundi kake tutapona. Si tutakuwa tumejichimbia kaburi wenyewe na tutaanza kupigana? Again and again tuangalie haya mambo kwenye 3 dimension kama kweli tunataka tuwe salama.Jitoe humu kama unaliamaini hilo.
Mfano wako hauna mashiko,ona Obama anafanya nini kwa sasa...
Inaonekana hufuatiliagi mijadala ya Bunge ambayo ina masilahi kwa Taifa...
Jiulize Issue za EPA, Deep Green Finance,Meremeta ni nani alikuwa anazisema bila kumung'unya maneno Bungen...Dont forget list of shame (Muungwana akiwa ndani ya Nyumba) na hawajakana bado.
Suala la Masilahi na ahadi za kishkaj utalisemaje kwa serlikali ya JK
huachi bana
Jibu kwa Ansbert,
As long as Slaa anagombea kama mgombea wa CHADEMA tu bila ya kuungwa mkono ama kuungana na wenzake atleast CUF na NCCR Mageuzi basi huyo ni mgombea wenu CHADEMA na sio wa watanzania. Hizi propaganda zenu mzifanye kukiwa na nia thabiti ya kumfanya awe mgombea wa watanzania na mojawapo ni kuchana na upuuzi wa kutokuaminiana na kuonana kuwa wenzenu wanatumiwa na CCM kuliko ninyi wakati attitude hiyo tu inayopelekea kutokuunganisha nguvu ni moja ya aina ya kutumiwa na CCM.
Lakini pia dawa pekee ya kuondokana na mazingira ya kufanikiwa kwa tuhuma na propaganda za udini kwa upande na ukabila (Uchaga - Ukristo) na CUF (Uislamu - Uswahili) ni kuungana na sio kuwatuma watu ambao kwa undani wanaamini kuwa watafaidika na siasa hizo kukanusha.
Waambie hao mabosi wako kuwa bila ya kuungana ama kushirikiana wajiandae na adhabu ya nguvu ya umma.
omarilyas
Leo tarehe 4/8/2010, dola moja nimenunua kwa 1,588, halafu Mkulo anatuambia uchumi umeimarika,sisi siyo wajinga wa kiasi hicho,Tunaomba mpumzike mtuachie nchi yetu salama, ninaamini mpaka mwezi wa kumi pesa yetu itakuwa chini ya ile ya Zimbabwe