Dr. Slaa: Shitambala hana hatia

Wa Kwilondo

JF-Expert Member
Sep 15, 2007
1,081
312
Kutokana na uchunguzi wa mwanzo imeonekana Bwana Shitambala hana hatia juu ya kupokea mil 600 toka ccm na ameruhusiwa kuendelea na shughuli zake kama M/kiti.

Source: Dr. Slaa -TBC leo saa 2 usiku
 

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,829
4,167
Kutokana na uchunguzi wa mwanzo imeonekana Bwana Shitambala hana hatia juu ya kupokea mil 600 toka ccm na ameruhusiwa kuendelea na shughuli zake kama M/kiti.

Source: Dr. Slaa -TBC leo saa 2 usiku

Hapo tu ndiyo huwa ninaamini Dr. Slaa ni genius. Ni Daktari wa Falsafa kweli kweli.

Ngoja tusubiri makanjanja wa magazeti ya udaku (uhuru, habarileo, jamboleo, daily noise, mtanzania) watakavyoandika hii habari kesho.
 

Nuru John

Member
Aug 26, 2009
15
0
katibu Mkuu wa CHADEMA Dr.Wilbroad Slaa amesema uchunguzi uliofanyika umethibitisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA aliyejiuzuru mkoa wa Mbeya hana hatia na ataendelea na cheo chake kama kawaida,hiyo ndio CHADEMA bwana,hakuna zengwe wametenda haki kama iinavyotakiwa,Hongereni sana wana CHADEMA.
Source:Taarifa ya habari TBC saa 2.00 usiku
 

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,980
9,558
Kwa kuwa uchunguzi wa awali umeonyesha hana hatia, na Shitambala ni mwelewa, aendelee tu na shughuli zake, chama kiendelee kusonga mbele. Hizo ndiyo changamoto ya siasa ya bongo hakuna kulegea.
 

Somoche

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
5,695
5,367
Shitambala ni Capt mstaafu wa jeshi hawezi kuwa fisadi namwamini. atarudi kuendesha mapambano. Slaa 2015
 

BWANA MAARIFA

New Member
Nov 22, 2010
2
0
Hapo tu ndiyo huwa ninaamini Dr. Slaa ni genius. Ni Daktari wa Falsafa kweli kweli.

Ngoja tusubiri makanjanja wa magazeti ya udaku (uhuru, habarileo, jamboleo, daily noise, mtanzania) watakavyoandika hii habari kesho.

Shida ipo kwa wenye chama cha kijani kinachofikiria kuzalisha wadudu hasa Mbu ili watuletee vyandarua zaidi..... Kitakachofuata ni kutushauri tuwe tunalala muda wote kuepuka kuumwa na mbu!!!!
Trust me.... Kwa jibu la DR. Slaa watatwist hili suala ili Shitambala aonekane amedhalilishwa... ahame chama.
 

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,326
2,230
safi sana,nilikuwa namkubali sana jamaa na bado namwamini ingawa sipo mbeya tena!

He is very great :A S crown-1:
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom