Dkt. Slaa adokeza kuwa amepata habari Deus Soka atauawa leo na kutupwa kwenye msitu

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
44,212
82,351
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!

Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

1724296613987.png



Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Nadhani hapa tulipofika magufuli ilikuwa afadhali kumbe kelele nyingi zilikuwa zinatoka kwa wale aliokuwa kawakata mikia na hao ndo sasa hivi wamekaa kimya.
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Ccm ni wauaji
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Ni wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini?
Hadi hapo watu watakapochoka na kuamua kutoa 'kafara' kubwa ili kukomesha kabisa masuala haya.
 
Back
Top Bottom