Hiyo ilikuwa baada ya siasa, kilichofuata ni socialization, kumbuka Dr.Slaa alikuwa ukweni lazima aonyeshe unyeyekevu kwa wakwe ni kawaida ya mila na desturi za kibantu.Na HAUTAONA tena akitoa heshima hiyo na ndiyo maana hukuwahi kumuona akifanya hivyo